Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,509
- 23,653
Serikali yetu ikiona zile "RANGI" tu za bendera za upinzani, hawalali, presha na jasho linawatoka kama wanataka kukatwa "JANDO" bila ganzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bendera tu zina watoa Roho ,halafu wanasema wao wana tekeleza Ilani kwa kuleta Maendeleo.Uoga ni wa nini !?
MM could also be Mzee MpumbavuWewe hujui kuwa MM anatafuta uteuzi toka kwa Jiwe??
Niliwahi kusema muda sana na nimekuwa nikisema, jiwe anawaonea wivu cdm kwa jinsi wanavyokubalika na wananchi, na ndio sababu hasa amepiga marufuku vyama vya siasa kufanya kazi za siasa nchi nzima kwani anajua fika cdm wanakubalika, na hilo linamuumiza sana roho yake. Alitamani jinsi cdm inavyokubalika ndio iwe yeye na ccm. Namna pekee ameami kutumia nguvu kubwa na uonevu wa wazi dhidi ya cdm, akidhani akiiua cdm basi automatically watu wataipenda ccm, kitu ambacho hakiwezekani.
Mwanza majuzi CCM wamefanya kikao cha NEC tuu, lakini tumeona picha za bendera kutundikwa kila mahali. Kwenye madaraja, barabarani hadi vyoo vya stend.
Lakini sio jiji au polisi walio shughulika, why Chadema?
#Nohate#Nofear
Sent using Jamii Forums mobile app
Watahamia ukumbi wa Mbezi beach high schoolZimeanza bendera kuwekewa ribiti na Halmashauri ya Ubungo, na kwa vile mkoa nao haujaingilia kati kama wakati wa marufuku ya Sophia Mjema na ibada za kila siku basi mkoa umeridhia kuwa bendera za Chadema ni tishio kupepea kwa tashwishwi eneo lote la Mlimani.
Hizo ndio figisu za utawala dhidi ya Chadema, lakini figisu hizo ndizo zinaipaisha Chadema kila siku.
Nawaomba wakae chonjo, kwa figisu za namna hiyo wasije kushangaa kesho kuwakuta Polisi wametapakaa eneo la Mlimani city na maagizo kuwa wakachukue fedha zao maana ukumbi umepata shughuli zingine.
Waandae kabisa plan B iwapo hilo litatokea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnatamani Chadema wangefanyia mkutano mkuu hata kwenye godown za GSMWatahamia ukumbi wa Mbezi beach high school
Nimeamua nisikujibu, nimekusamehe!Kuna watu wanataka kufanya siasa iwe vita na visasi...... Sisi wazalendo tusio na vyama hatuko tayari kuona our beloved country inaingia kwenye machafuko....
Nashukuru kwa msamaha wako...Nimeamua nisikujibu, nimekusamehe!
Me nafamu kuwa anajua kusoma na kuandika na mwanachama wa mtiifu wa ccm.View attachment 1295323
Huyu Mheshimiwa anaitwa Beatrice Dominic , ameingia kwenye rada zetu baada ya kufanya kituko cha kuamuru kushusha bendera za Chadema zilizowekwa kwenye maeneo ya Mlimani City kunakofanyika Mkutano mkubwa wa uchaguzi wa chama hicho , kama walivyo watumishi wengine wa Umma tunapaswa kuufahamu wasifu wake , ni wapi aliposoma , alisoma shule gani , alisomea nini , mahali pengine alipofanya kazi , alikuwa na cheo gani , uaminifu wake pote alipopita na mengine mengi ambayo mtumishi wa umma anapaswa kuwa nayo .
Lengo kuu la kutaka kumfahamu ni kuweka kumbukumbu sawa kwa ajili ya vizazi vijavyo
hizo ni bendera sio mabangoWanatakiwa walipie unajua kama mabango yote unayoyaona barabarani yanalipiwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho Mkutano Mkuu , tumealika mabeberu wote .Unataka wasifu wa nini, mbali ya kujua kwamba huyo ndie atakayesimamia uchaguzi. Hapo mna kitu kweli?
Wakati huu mngekuwa mnajenga hoja kwa ushahidi kama huu ulio wazi kukataa kabisa hawa watu wasimamie uchaguzi.
Hiyo mahakama imekwisha wapiga chini, mnazo mbinu gani zaidi ya hapo?
Utaingiaje kwenye uchaguzi ukijua wazi huna utakachoambulia kwa sababu ya uwepo wa watu kama hawa?
Erythro haya ndiyo maswali yanayohitaji kufanyiwa kazi mara tu baada ya kuwapata viongozi wenu wapya.