CHADEMA yapewa saa mbili kuondoa bendera zake kwenye barabara ya Sam Nujoma eneo la Mlimani City. Polisi yafika kushusha bendera hizo


Imagine CHADEMA ingekuwa iko huru kufanya kazi zake kama katiba ya nchi isemavyo, mizengwe na chuki zidi yake zisingekuwepo jee ccm na Magufuli wangekuwepo katika siasa kweli?
Ni wazi ingesha jiishia na yeye pengine angeachia ngazi kwa shinikizo la afya kwani mchaka mchaka huo asinge uweza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watahamia ukumbi wa Mbezi beach high school
 
Me nafamu kuwa anajua kusoma na kuandika na mwanachama wa mtiifu wa ccm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesho Mkutano Mkuu , tumealika mabeberu wote .
 
Yuko sahihi!! Tusipige kelele bila kujiuliza sheria za matangazo mitaani zinasema nini. Huwezi weka matangazo bila kibali na huenda hata kulipia. sasa wao waliweka kwa kulipia? Kwa muda gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…