Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Kuna siku unazo acha akili zako nyumbani na kuna siku unatembea na akili zako.Leo umetembea na akili zakoKuna makada wengine wa CCM siyo kwamba wanakurupuka bali hawafikirii sawasawa wakati wa kufanya maamuzi.
Mbona bendera za Yanga na Simba zimezagaa kila kona katika manispaa ya ubungo na hatujasikia katazo lolote.
Binafsi nitamuona DED wa ubungo kidume kama atazishusha bendera za Yanga.......za Simba najua ataweza maana ni wahindi wala dengu wale.
Maendeleo hayana vyama!