CHADEMA yapewa saa mbili kuondoa bendera zake kwenye barabara ya Sam Nujoma eneo la Mlimani City. Polisi yafika kushusha bendera hizo

CHADEMA yapewa saa mbili kuondoa bendera zake kwenye barabara ya Sam Nujoma eneo la Mlimani City. Polisi yafika kushusha bendera hizo

Katika hali ya kustaajabisha ni hii tunayoona Sasa kwamba kuondoka bendera za chadema sijui zinasaidia nini au kiwepo kwake kunaleta athari gani.

tumeacha kuangalia athari za mvua zinazonyesha na kuleta hasara tunahangaika na vitu havina maana.

polisi wanaancha kulinda maisha ya watu waliohatarini kuchukuliwa na mafuriko mnahangaika na bendera.

Viongozi wanaancha kuhangaika na foleni zilizojaa Kila Kona ya jiji kutokana na mvua mnahangaika na bendera.

sasa nimeamini utapiamlo ni janga la taifa maana uwezo wa watu Kama taifa kufikiri umeshuka below 25% tunawaza vitu vidogo vidogo na hatuna uwezo Tena wa kuwaza mambo makubwa.

kweli bendera zinawajaza watu upepo kiasi jicho? CCM tafuteni njia mbadala wa kufanya siasa sio kwa kiwango Cha chini kiasi hiki.

Kuna siku punda atakataa kwenda kunywa maji mtateseka.
 
Kichakoro,

Kama polisi wameziondoa ni kwa sababu CHADEMA hawakutii amri waliyopewa ya kuziondoa (kama sikosei walipewa masaa 2) na bill itapelekwa kwenye chama chao wasilie tu wakati watakapotakiwa kulipa bill ya Polisi pamoja na faini.

BTW CCM walikuwa na mkutano wao kule Mwanza, leteni picha za bendera zao ili kuwa fair.
 
Mwanamke gani anasura ngumu hivi kama kinyago cha mpingo.
Kweli ni wakala wa shetani huyu.
 
Tii sheria bila shuruti.
Kuna siku atakuja mtu atapitia receipts zote TBC kuona kiasi kilicholipwa kwa TBC kurusha mikutano yote. Ikikosekana CCM wanaweza kupewa bill bayo hawataweza kulipa hivyo majengo na biwanja vyao vyote kutaifishwa.

Usilopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzako.
 
Back
Top Bottom