Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Acha kutudhihakiSiku CDM wakijua mwenyekiti wao ni jamaa yetu pale down town salamander na Posta basi Jesus atakuwa amesharudi......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kutudhihakiSiku CDM wakijua mwenyekiti wao ni jamaa yetu pale down town salamander na Posta basi Jesus atakuwa amesharudi......
Mungu ibariki CHADEMAKauli hii ya kishujaa imetolewa na Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe alipokuwa anahitimisha mpango wa Operesheni Haki Mkoani Morogoro .
Mbowe ambaye sasa anaitwa Mtemi Isike , baada ya kusimikwa huko Tabora , amesema kwamba Chama chake sasa kinataka viongozi wake wafanye kazi moja tu ambayo ni kusuka chama kwa kukusanya wanachama wapya na kuhudumia wanachama wake 24/7 , hivyo ni lazima wapewe vitita vizito kila mwezi ili waweze kufanya kazi zao kwa ufanisi .
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu CHADEMA yaweza kuwa ndio Chama cha kwanza cha kisiasa nchini Tanzania kuwalipa wafanyakazi wake wote hadi wa ngazi ya chini kabisa Mshahara , vyama vingine watendaji wake wengi huishi kwa kutegemea RUSHWA ZA WAGOMBEA WAKATI WA CHAGUZI za ndani au Uchaguzi Mkuu .
Mkuu, wanaita Faru Joni.Mbowe hatasamehewa na watanzania kwa kitendo chake cha kuangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia amepigwa na wasiojulikana ili kumchafua mwendazake.
Uongo uongo tu
Wafadhili hawakosekanagi ukiwataka.Kama tulishindwa kutoa mishahara kipind kile tukipata ruzuku kubwa tutaweza Sasa kweli na je zoez litadumu kwa mda gani?
Chama changu nakipenda Sana lakn kwa hili mh?
Wafadhili ni kweli hawakosekani hasa Ulaya ambako wanaamini Afrika iliyostaarabika inaweza kuwa makazi yao au paradiso yao hapo baadae.Wafadhili hawakosekanagi ukiwataka.
Tafuta popote nilipowahi kumsifia Lowassa akiwa Ccm kisha kwenda cdm na kurudi ccm, kama kuna mahali popote niliwahi kulisifia lile zee tapeli la kisiasa. Ukiona popote nilipowahi kumsifia Lowassa, au takataka yoyote toka ccm akiwepo Sumaye, Nyalandu nk nipigwe ban ya mwaka mzima. Unanichukulia poa nini?
Hapa kwangu si unajua daily huwa nakupa vitu vyenye ncha kali?
Dogo huwezi kusema humkubali Lowasa wakati huo huo unamsujudia Mbowe aliyemleta
Ulevi wa rafiki yako chadema wanahusika?Hizi taasisi za kisisasa za kipuuzi sana.
Classmate wangu alijitoa sana kwa chadema, alitumia pesa zake mpaka pikipiki yake kwaajili ya chadema kilichomtokea mpaka leo jamaa amekua mlevi mbwa.
Miaka zaidi ya mitatu tangu wamharibie maisha eti leo kuna tangazo la kuanza kulipana mishahara halafu huyu mwingine analileta kwa mbwembwe zote.
Manina.
We unaonaje?Ulevi wa rafiki yako chadema wanahusika?
Mauzauza tuWe unaonaje?
Ahahahahahah zilitumika kula watoto wazuri pale Camp JointTUNAOMBA MAPATO NA MATUMIZI YA ZILE SADAKA TULIZOCHANGIA KIPINDI CHA KAMPENI MWAKAJANA. MSIDHANI TUMESAHAU.
Chadema hajengi chama kwa kufuata mfano wa ccm ambao wao wanaamini kujenga chama ni kua na ofsi zenye majengo maxuri chadema inajenga chama kwenye mioyo ya watu na ndio maana mwanachadrma ambae hakutoka chama kingine ni ngumu kumubadilisha mawaxo na huumia chama chake kikisemwa vinayaNaona tunaleta mbwembwe kama za abunuasi.
Yaani kulipa mishara watendaji wa chama na kuimarisha chama?
Kama hata ofisi tu tumeshindwa ndio tutaweza kufanya haya?
View attachment 1815280
View attachment 1815307
Huko CCM hata mwenyekiti wa CCM mkoa,wilaya,Kata,na vijiji hawalipwi mshahara hata Senti tano.sijui wanaishi vipi na wanakula wapi na wanatunzaje familia zao. Ni fedhea na aibu kubwa kubwa kwa chama kilichozaliwa mwaka 1977 na ndicho chenye Dola. Mabalizi hawalipwi,wajumbe wote hawalipwi. Mwenyekiti wa CCM Taifa Naye halipwi mshahara ndani ya chama Wala wakuu wa jumuia zake wote hawalipwi. Hii ni aibu kubwa tena kubwa. Kuna uwezekano viongozi hao wanaishi kwa njia ya Rushwa na kwa kigezo hicho Rushwa nchini haitakaa iishe kamwe.Kauli hii ya kishujaa imetolewa na Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe alipokuwa anahitimisha mpango wa Operesheni Haki Mkoani Morogoro.
Mbowe ambaye sasa anaitwa Mtemi Isike, baada ya kusimikwa huko Tabora , amesema kwamba Chama chake sasa kinataka viongozi wake wafanye kazi moja tu ambayo ni kusuka chama kwa kukusanya wanachama wapya na kuhudumia wanachama wake 24/7 , hivyo ni lazima wapewe vitita vizito kila mwezi ili waweze kufanya kazi zao kwa ufanisi.
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu CHADEMA yaweza kuwa ndio Chama cha kwanza cha kisiasa nchini Tanzania kuwalipa wafanyakazi wake wote hadi wa ngazi ya chini kabisa Mshahara, vyama vingine watendaji wake wengi huishi kwa kutegemea RUSHWA ZA WAGOMBEA WAKATI WA CHAGUZI za ndani au Uchaguzi Mkuu.