CHADEMA yatangaza kumwaga mishahara kwa watendaji wake wote kuanzia ngazi ya chini Kabisa

CHADEMA yatangaza kumwaga mishahara kwa watendaji wake wote kuanzia ngazi ya chini Kabisa

Mbona kama wewe ndiye umenivamia mimi boss wa magari?

Kama unahisi naandika hayo maneno ili unione msomi unakosea kwasababu hiyo ni lugha tu siyo alama ya usomi.

Wewe huna tofauti na mwanachama mwingine yeyote wa chadema usijifanye ni wa tofauti boss.

Hebu kaa kwa kutulia boss, maana naona umeshakata pumzi.
 
Naona tunaleta mbwembwe kama za abunuasi.

Yaani kulipa mishara watendaji wa chama na kuimarisha chama?

Kama hata ofisi tu tumeshindwa ndio tutaweza kufanya haya?

View attachment 1815280

View attachment 1815307
Tumaliza ofisi za kila jimbo, mkoa then kila jiji katika Kanda tunapandisha jengo la ghorofa la maana , ili mpasuke KWA stress,

Chadema inaenda kua chama bilionea baran Afrika , chochote tutafanya KWA kujiachia
 
Luzuku hawalipwi na hawana miradi yoyote duniani fedha utatoa wapi usiwadanganye viongozi wezako PH.e.m
 
Simba na Yanga ni timu zenye washabiki wengi hapa nchini, na zina miaka zaidi ya 50@, lakini hazina viwanja vyake vya binafsi na bado wanalipa mishahara, ndio itakuwa cdm? Muuza face unakwama wapi?
Dah! Kazi ipo....
 
Simba na Yanga ni timu zenye washabiki wengi hapa nchini, na zina miaka zaidi ya 50@, lakini hazina viwanja vyake vya binafsi na bado wanalipa mishahara, ndio itakuwa cdm? Muuza face unakwama wapi?
Two wrongs don't make it right

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Siku CDM wakijua mwenyekiti wao ni jamaa yetu pale down town salamander na Posta basi Jesus atakuwa amesharudi......
 
Kauli hii ya kishujaa imetolewa na Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe alipokuwa anahitimisha mpango wa Operesheni Haki Mkoani Morogoro .

Mbowe ambaye sasa anaitwa Mtemi Isike , baada ya kusimikwa huko Tabora , amesema kwamba Chama chake sasa kinataka viongozi wake wafanye kazi moja tu ambayo ni kusuka chama kwa kukusanya wanachama wapya na kuhudumia wanachama wake 24/7 , hivyo ni lazima wapewe vitita vizito kila mwezi ili waweze kufanya kazi zao kwa ufanisi .

Kwa kadri ya kumbukumbu zangu CHADEMA yaweza kuwa ndio Chama cha kwanza cha kisiasa nchini Tanzania kuwalipa wafanyakazi wake wote hadi wa ngazi ya chini kabisa Mshahara , vyama vingine watendaji wake wengi huishi kwa kutegemea RUSHWA ZA WAGOMBEA WAKATI WA CHAGUZI za ndani au Uchaguzi Mkuu .
Si , unajua tena! CCM na Rushwa ni pete na kidole!?
 
Back
Top Bottom