Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Kamanda upo sawa. Mbowe alifanya kosa kubwa sana.
Simba na Yanga ni timu zenye washabiki wengi hapa nchini, na zina miaka zaidi ya 50@, lakini hazina viwanja vyake vya binafsi na bado wanalipa mishahara, ndio itakuwa cdm? Muuza face unakwama wapi?