stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
kunywa majiSo what?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kunywa majiSo what?
kunywa maji
Ndoo tunawabana wasitusahaulishe. Tutaendelea kuwabana.Ahahahahahah zilitumika kula watoto wazuri pale Camp Joint
Sawa, ndio niko na Chalamila hapa tuna kunywa maji.
Wanaccm mkisikia jina la Mbowe tu tayari mnaanza madai hewa! Mimi bado natafakari ninavyobambikiwa kulipa kodi ya jengo hewa wakati hata bei ya kitasa cha mlango wa choo siijui!Tunaomba mapato na matumizi ya zile sadaka tulizochangia kipindi cha kampeni mwakajana. Msidhani tumesahau.
niko na lowasa apa anacheki movie ya mbowe na pesa za digital
Hiyo chupi iliyotoboka unayovaa inakilambisha Sana Mchanga kidoti chakoSource ya habari mi upuuzi mtupu.
Malisa ni mlamba viatu wa Mbowe
KWANI WANACCM NDIO WALIOCHANGISHA SADAKA ZILE KWENYE MIKUTANO YA CHADEMA?Wanaccm mkisikia jina la Mbowe tu tayari mnaanza madai hewa! Mimi bado natafakari ninavyobambikiwa kulipa kodi ya jengo hewa wakati hata bei ya kitasa cha mlango wa choo siijui!
Kigumu kwa maana ipi?Ila Chadema aisee... sijawah ona chama cha siasa kigum hivi.. not in Africa this recently
Alietaka kukiua na kuwauwa kwa Risasi za moto unajua kilichomkuta?Kigumu kwa maana ipi?
Kigumu kufa kama paka au kigumu kuelewa kuwa kimekufa...?
...YES, nadhani anekufa yeye, ni marehemu a.k.a MwendazakeAlietaka kukiua na kuwauwa kwa Risasi za moto unajua kilichomkuta?