CHADEMA yatangaza Kupuuza Tamko la Jeshi la Polisi, Maandamano yako Pale pale

Daaaaa kazi sana strategies za huku na huku nani atashinda ?
 
Shida ni mtuhumiwa namba moja ni polisi kwa mujibu wa chadema raisi anaogopa nini kuunda tume ya kijaji mzizi huu wa fitina ukaisha?
Tatizo la chadema wanatuhumu mtu bila ushahidi usio achaa shaka!!
 
I rather die like a man than to live like a coward (Tupac Shakur)
 
Mungu baba Ibariki CHADEMA
 
Hao wanapigwa pini maporini tu kabla hawajafika Dar, wajitayarishie vyakula na toilet paper kwa wingi.

Kuchamba kwa majani kuna hatari zake. Mara umechota upupu. Utakoma ubishi.
 
niache kupambana ugal wangu na watoto. siasa hizi. kaz kwel kwel. kwangu ugali ni bora
 
Kwa hawa Watanzania sidhani kama watu wataandamana.

Maandamano yanapaswa kuwa non partisan kama Kenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…