CHADEMA yatimiza miaka 28 tangu kuanzishwa kwake. Asante Mungu kwa kuilinda

We una akili timamu? Au unajifurahisha PAC haikutoa majibu bungeni? Hao waliozuiliwa kutajwa nia akina nani. Kama unajua kwa nini hauwataji?
Mbona Waitara ametaja madudu ya Mowe hadharani. Weka hayo majina hadharani. Sio kupiga kelele kama mwehu.
 
Waambie waambie mkuu...leo mbowe ana nyanyaswa na wanyarwanda kisa tu wana madaraka...historia ya nchi hii watu wameichezea sana
 
Ni faida gani imeengizia nchi na ni hasara gani imeiingizia nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…