Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #321
Mamaeee,. Bangi gani mnavuta😂😂naskia ni mbaya 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamaeee,. Bangi gani mnavuta😂😂naskia ni mbaya 😂
oya hamna series inaifunika breaking badMamaeee,. Bangi gani mnavuta😂😂
Dogo breaking bad ninayo yote, ila p. Break ni 🔥🔥🔥oya hamna series inaifunika breaking bad
nitaiangalia nikiipataDogo breaking bad ninayo yote, ila p. Break ni 🔥🔥🔥
Nikirudi dar nitakuletea season zote5nitaiangalia nikiipata
Mkuu hatuhasema hutakiwi kula, ila Kuna vitu una kuwa attached navyo.Ukiwa bilionea ndo utatakiwa kubadilisha msosi? Ndo maana hatufanikiwi kwasababu ya mawazo ya kipuuzi.
Ubilionea haimaanishi kubadili msosi. Tena mabilionea wa siku hizi ndo hawana huo ushamba wa misosi ili kuepuka magonjwa.Mkuu hatuhasema hutakiwi kula, ila Kuna vitu una kuwa attached navyo.
👉Usitutukane, damn currasando
Mkuu mbona una lazimisha, kitu ambacho hatujasema🤔🤔Ubilionea haimaanishi kubadili msosi. Tena mabilionea wa siku hizi ndo hawana huo ushamba wa misosi ili kuepuka magonjwa.
Kula chuma hichoAlbino mweusi😂😂
Burudaniii[emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani dada hapo unakua roho kwatuuuu
Aaaaah....Vibamanda
Vibumunda
Inategemea na eneo.
Songea tunaita vibamaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wale dagaa ni wazuri kuliko dagaa wa Victoria, Tanganyika, BahariDagaa nyasa yaani ata nikiwa na mapesa kwenye Jaba
Hicho chuma nakiyeyusha, Kisha natengeneza Panga😂😂Kula chuma hicho