ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Wababe wanapungua mmoja baaada ya mwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TeteteteAcha chuki binafsi, kwenu nyumbu wa saccos kiongozi wenu ni faru John tu wote waliobakia sio viongozi. Hapi ni bonge la kiongozi, kawazidi wengi tu mule saccos ya ufipa.
Amerudishwa tena serikalini. Hata hao wanaofanya teuzi wapelekwe MirembeHuyu wampeleke Mirembe
KarudiMama aliambiwa achana hawa watu hakusikia haya sasa kazi iendelee.
Karudi,. PoleHayo ndo yalikuwa majembe ya mwendakuzimu
Karudi, POLEKama alizungumza hv basis alkosea sana huwezi leta masikhara kwa kiongozi mkubwa kama raisi.
Bora umetumbuliwa mkuu kila LA kheri huko uraiani
Amerudi mkuu tena amesogezwa mkoa jirani na ule aliokuwa mara ya kwanzaMama aliambiwa achana hawa watu hakusikia haya sasa kazi iendelee.
Unaambiwa hizo kazi huwa hazina kustaafu, sasa hivi tunamwita RC KageraMwite RC mstaafu
Huyu huyu aliyesema tunaweza kupata makamu mchawi akamroga rais ili yeye ndo awe rais, au ni majina tu yamefanana?Karudi,. Pole
Unaona Sasa, kumbe ulikuwa unamcheka mtu ambae humjui.Huyu huyu aliyesema tunaweza kupata makamu mchawi akamroga rais ili yeye ndo awe rais, au ni majina tu yamefanana?
Ilivyokua ukimcheka alikua anakusaidia? pole sanaSasa pole ya nini.. Kila mtu alizungumzia kimuktadha wa tukio husika, unanipa pole ya nini kwani ananisaidia lolote..?
Unaonaje alivyopelekwa mirembe?Huyu wampeleke Mirembe
Hawa watu kina nani?Mama aliambiwa achana hawa watu hakusikia haya sasa kazi iendelee.
Unajisiaje ewe taahira?Hayo ndo yalikuwa majembe ya mwendakuzimu
Wewe unatafunwa hadi hapo ulipo umevaa pampas mimavi inakutoka ovyoHawa watu kina nani?
Nyie manyumbu ndio maana ccm inajitafunia tu ipendavyo
chalamila yuko smart anajiamini na hajikombi kwa mtu na siyo mnafiki.
Baada ya kwenda kulia na kuombewa Kwa MwamposaAmerudishwa tena serikalini. Hata hao wanaofanya teuzi wapelekwe Mirembe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sister umepanic hatari!Wewe unatafunwa hadi hapo ulipo umevaa pampas mimavi inakutoka ovyo
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app