Chama kipya cha Siasa kinachoitwa "Umoja Party" kuanzishwa

Mifumo ndo mibovu na kandamizi kwa upinzani ila vyama vipo safi tu
 
Si kitakuwa NGO sasa Mkuu au haidhuru?[emoji23][emoji23]
 
Demokrasia ya vyama vingi inazidi kushamiri Tanzania.

Angalizo, Kamwe wasikigeuze chama kuwa Genge la Kihalifu kama walivyo fanya viongozi wa Chadema.

Chama cha siasa lazima kiwe kweli chama cha kisiasa.
Pumbavu kama mwendazake na Musiba + Sabaya.
 
Umoja wa manyumbu au akina cdm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…