Si kwa ubaya lakin MWAKA 2025 utachangamka sana kimatukio, kuanzia huko duniani(developed Countries) mpaka huku bara la kiza(developing Countries).
mambo ya chaguzi, kupinduana, visasi, kusalitiana, chokochoko na vitisho, kiufupi mambo yatachangamka sana, kuanzia kisiasa, kijamii mpaka kiimani na kiuchumi kiujumla tujipange na yajayo, Kila mtu akae upande sahihi.
Natia nukta.