Changamoto kubwa ya Kiusalama kwa Urusi na hatma ya Usalama barani Ulaya

Changamoto kubwa ya Kiusalama kwa Urusi na hatma ya Usalama barani Ulaya

Wakati wa mgogoro wa Syria kupitia Arab Spring, Wachambuzi walisema Urusi haiwezi kuruhusu Syria kuanguka kwa sababu nchi za Ulaya zinataka kukwepa kununua gesi ya Urusi na hivyo kutaka kupitisha bomba la gesi kutoka Qatar hadi Ulaya. Je kuanguka kwa Asad jambo hili litafanikiwa na kutakuwa kuna matokeo gani hasi kwa Urusi?
 
Si kwa ubaya lakin MWAKA 2025 utachangamka sana kimatukio, kuanzia huko duniani(developed Countries) mpaka huku bara la kiza(developing Countries).

mambo ya chaguzi, kupinduana, visasi, kusalitiana, chokochoko na vitisho, kiufupi mambo yatachangamka sana, kuanzia kisiasa, kijamii mpaka kiimani na kiuchumi kiujumla tujipange na yajayo, Kila mtu akae upande sahihi.

Natia nukta.
Umeongea jambo la kweli
 
Kama Syria iliipiga Israel kwenye vita ya 1973, kwanini Syria kwenye vita ile ilishindwa kuikomboa Golan heights mpaka leo???

Maana malengo ya Yon Kippur war ni Waarabu kukomboa maeneo yao. Mbona sasa Syria haikukomboa na unasema iliipiga Israel.

Kama Syria ndio ilishinda vita, ilikuwaje majeshi ya Israel yalikuwa deep within Syria yako 40km kutoka mji mkuu Damascus. Ilikuwaje mpaka Henry Kissinger anafanya mazungumzo kushawishi majeshi ya Israel yaondoke Syria?

Kissinger sio aliyeikataza Israel kutumia nuke. Syria hata Jordan river hawakufika sasa nuclear kwao ingekuwa ni overkill, kamati ya usalama ilikataa. Na kama ni suala la misaada hata Syria ilisaidiwa. Iraq ilituma wanajeshi 30,000 vifaru 400 na armoured personnel carriers zaidi ya 600. Bado Jordan iliichangia silaha Syria. Na USSR iliitishia Israel kuwa ikiiteka Damascus basi na jeshi la USSR linaingia vitani. Mbona unafanya as if Syria ilipigana pekee haina allies.
Okay, YOU ARE RIGHT
 
Back
Top Bottom