Kama mwanaume, ambaye ni mnene, naumia mno, ila ndiyo hali yangu na siwezi ikwepa. Badala yake naweza i mitigate
Changamoto nazokutana nazo faragha ni hizi, kushindwa baadhi ya stahili kama vile chuma mboga.
Kushindwa, kuwa mwepesi na hii kupelekea, wife kuendesha yeye kila muda.
Kimsingi wyf naye ni mnene kiasi, so plus na unene wangu ni changamoto kubwa sana. Inafika wakati unaomba, usiku usije ukihofia zile mikiki mikiki.
Hilo komwe hapo kwenye dp ni wewe mkuu??Unakuta dume lina kitambi kama FURUSHI LA MAGIMBI anabehua tu muda wote. Chefuuu!!
Mmezidi ulaku sana, kila kitu mnakula kama nguruwe...... kubugia machips nyinyi, kitimoto nyinyi, bia za kudoea nyinyi, maugali nyinyi, mawali nyinyi, mapera nyinyi, supu za alfajiri nyinyi.... khaaaa WE HUOGOPI?
Kadiri tumbo linavyozidi kuvimba ndivyo kibamia kinavyozidi kuzama ndichi, WE HUOGOPI?
Cc: Lamomy Extrovert Mbaga Jr Kapeace mshamba_hachekwi dronedrake Maghayo
uszipunguze zile T tatu zako bwanaSuluhisho jepesi hakikisheni usiku hamli kitu chochote, mwisho Kula iwe saa 10 jioni.
Pia jioni fanya matembezi ya jioni, tembeeni Kwa miguu walau Kwa nusu Saa.....after a month lete mrejesho.
Ukiwa na pesa. Utasifiwa kitambi 'Ooh babe I like that'. Bullshit
Sipunguzi, Ila nafanya mazoezi mepesi.....unajua ukiwa strong vimazoezi vya hapa na pale sex inakuwa amazing π€£π€£uszipunguze zile T tatu zako bwana
hamna namna unaweza kupunguza huo unene, maana ushauona ni tatizo, unafikiri kwa mkeo ni tatizo kiasi gani sema hakuambii tuuKama mwanaume, ambaye ni mnene, naumia mno, ila ndiyo hali yangu na siwezi ikwepa. Badala yake naweza i mitigate
Changamoto nazokutana nazo faragha ni hizi, kushindwa baadhi ya stahili kama vile chuma mboga.
Kushindwa, kuwa mwepesi na hii kupelekea, wife kuendesha yeye kila muda.
Kimsingi wyf naye ni mnene kiasi, so plus na unene wangu ni changamoto kubwa sana. Inafika wakati unaomba, usiku usije ukihofia zile mikiki mikiki.
π€£π€£π€£π€£π€ππππππππππΎπ€£
HakikaKula pale unaposikia njaa tu,uta ishukuru baadae..na ukila kula kwa kiasi!
Nina rafiki angu ni kibonge halafu anakula kitimoto kama hatokula tena plus biaKuna wenzio niko nao hapa wanafakamia makonyagi,kitimoto na ndizi kama hawana akili nzuri.