Kwedinguzu
Member
- May 16, 2020
- 40
- 26
Msaada wakuu, nikiupload passport size, nikiludi kuiangalia siikuti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ndo hilivyo uwezi ikuta milele maana hapo wewe umebonya edit profile manake inakupa option ya ku update taarifa zako na si kutizama ndo mchezo utakuwa hivyo hivyo Kila unapogusa hiko kipengele achana nacho mkuuMsaada wakuu, nikiupload passport size, nikiludi kuiangalia siikuti
Shukrani mkuuMkuu ndo hilivyo uwezi ikuta milele maana hapo wewe umebonya edit profile manake inakupa option ya ku update taarifa zako na si kutizama ndo mchezo utakuwa hivyo hivyo Kila unapogusa hiko kipengele achana nacho mkuu
Mkuu ndo hilivyo uwezi ikuta milele maana hapo wewe umebonya edit profile manake inakupa option ya ku update taarifa zako na si kutizama ndo mchezo utakuwa hivyo hivyo Kila unapogusa hiko kipengele achana nacho mkuu
Nazani ni system yenyewe ina shake, kwahiyo nikuacha tu tusubiri mkeka.. Maana hata ukibadilisha ika shake tena itakuwa vilevileWakuu ebu pitien vyeti vyenu mi nmekuja kuangalia nakuta chet sio changu
Naomba nisaidie ukubwa wa picha ni upi maana maelezo pale sioniWeka passport size ya npg au jpeg na ukubwa wa picha umeandikwa.
Nilikua busy kidogo nimepokea ushauri wako ntatenga muda kuanzia kesho nitakuwa free nitawasapoti ndugu zanguMkuu- ungewasaidia watu kuomba wakachangia bundle .
Maana askari wanaohitajika ni wengi Ila hadi muda huu idadi ya waliomba ni chache mno na ukizingatia hawa wanchukuliwa kwa ajiri ya uchaguzi ujao
So Kama haupo busy sana waombee wadau wachangie bundle na wrngine wameomba ajira 2 that is hell
wanahitajika wengi lakini sio kwa ngazi za taaluma mkuu ikitoka pdf ya kwend ccp ukakuta graduate zaid ya 200 nikumbushe nifue kauli yangu hiii nchi ngumu hapa watajaza mapongo wa kidato kama 900 had 1200 iv Nakuunga mkono ndugu hata mimi najitolea atakayeniamini nitoe email au whatapp number atume vitu ila viwe kwenye folder lake nimsaidie asitume bundle mi natumia mkongo wa ummaMkuu- ungewasaidia watu kuomba wakachangia bundle .
Maana askari wanaohitajika ni wengi Ila hadi muda huu idadi ya waliomba ni chache mno na ukizingatia hawa wanchukuliwa kwa ajiri ya uchaguzi ujao
So Kama haupo busy sana waombee wadau wachangie bundle na wrngine wameomba ajira 2 that is hell
Naomba nisaidie ukubwa wa picha ni upi maana maelezo pale sioni
Mimi niliomba kwa ajira2 lakini nimeingia kupitia ajira.tpf nimekuta application ipo received freshi shida tu ni vyeti ndo sio vyakwangu kitu ambacho ni shida ya mfumokama uliomba kupitia ajira2 that is hell,omba kwa kutumia ajira ndio offical link
kama uliomba kupitia ajira2 that is hell,omba kwa kutumia ajira ndio offical link
hakika boss mwanzo nilitumia link ya ajira2 nilivokagua nikakuta vyeti sio vyang nikacreate upya account kweny link walotoa PT
tareh 26mkuu ivi mwisho ni lini kuomba, wengne tuna kozi tumesomea cartography (urasimu ramani) ila naona hata haitambuliki[emoji120], hii nch hii.
duu mkuu mimi ninayo husiana nayo ni surveyor, iko degree huko. Mambo ni shida.tareh 26
kaangalie unayoendan nayo uombe huwez kujua
Angalizo ukiona una attach kitu halafu ukirud hukioni jua kuwa ulicho attach kina size kubwa kuliko minimum size iliyowekwa kwa mfano attachment ya vyeti inatakiwa isizidi 700kb so ukiweka zaidi ya hy ukiaangalia tena huikutiMsaada wakuu, nikiupload passport size, nikiludi kuiangalia siikuti