Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeingiza taarifa za kidato Cha nne nikasave ....
Nika add za certificate yake ya ufundi fresh kabisaa nikasave .......
Na cv nikaweka
Passport
Kila kitu swaaaafi kabisa ila dakika za jioooooooooooooooni kabisa nikaharibu kazi dah
Pole naomba taarifa za hiyo akaunt nichek nione kama kutakuwa na namnaNimeingiza taarifa za kidato Cha nne nikasave ....
Nika add za certificate yake ya ufundi fresh kabisaa nikasave .......
Na cv nikaweka
Passport
Kila kitu swaaaafi kabisa ila dakika za jioooooooooooooooni kabisa nikaharibu kazi dah
Mkuu na mimi nisaidie jinsi ya ku add taarifa ya other qualifications inagomaPole naomba taarifa za hiyo akaunt nichek nione kama kutakuwa na namna
Mkuu na mimi nisaidie jinsi ya ku add taarifa ya other qualifications inagomainagomea wapi
Punguza size ya barua, passport size .. kimojawapo hapo ndo kinaleta shidaYaniletea hivi msaada
Tumia link sahihi iliyotolewa na maafande wenyewe,Wakubwa,,toeni neno juu ya link ya ajira2.tpf.go.tz
Umeniokoa sana mkuu...nimefanikiwaBarua yako isizidi 200kb
Na upande wa picha inqkuwaje mkuu?Barua yako isizidi 200kb
Pamoja mkuuUmeniokoa sana mkuu...nimefanikiwa
Weka passport size ya npg au jpeg na ukubwa wa picha umeandikwa.Na upande wa picha inqkuwaje mkuu?
Oya eti mbona saivi nikijaribu ku log in ajira 2 inaniambia credentials hazipoWeka passport size ya npg au jpeg na ukubwa wa picha umeandikwa.
Itakuwa hili jeshi liliajiri IT aliyemaliza form four maana ndio sifa yao kubwa haiwezekan mfumo unachukua wiki mbili haufanyi kazi na bado ukiingia setting za mle ndan hazieleweki vitu ukiweka hakuna ku edit maana yake nini sasa.Hivi mfumo wa kutuma maombi ya ajira jeshi la polisi ni kwangu tuu unasumbua ama na wengine mmekutana na changamoto hii?
Karibu nkusaidie mkuuMkuu na mimi nisaidie jinsi ya ku add taarifa ya other qualifications inagoma
Pole ndugu hapo unatumia simu ndio mana Sasa Cha kufanya Rudi nyuma yaan log out uanzie page ya kwanza kama hii uchague uombacho ona hiyo attachedView attachment 2997123
Sijaona mahala pa ku attach barua. So far inaniandikia ivo kwamba YOU HAVE NOT APPLIED FOR ANY JOB YET.
Hapa najaribu ku apply kwa mtu wa KIDATO CHA NNE.
MSAADA WAKUU
Achana na ajira 2 sio ya kuaminika tumia link hiliyo kwenye tangazo kuepusha usumbufu wa baadaeOya eti mbona saivi nikijaribu ku log in ajira 2 inaniambia credentials hazipo