sahihi hiyoAjira na ajira 2 taarifa sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sahihi hiyoAjira na ajira 2 taarifa sawa
namba tupuNamba umeandikaje na ile mikato ama umeacha
Aisee mi kwngu bado patupu inakataa kabisanamba tupu
Mkuu hiyo nida inaweza ikawa changamotoAisee mi kwngu bado patupu inakataa kabisa
unapoandika nida usiweke zile - unganisha mwanzo mwishoAu Namba inaandikwaje??
Sorry sikuwa onlineNimekutxt private naomba msaada wako
Ndugu Voice of TanzaniaMsaada wakuu ....
Nimefanya Kila kitu ila nikakosea kwenye selection ya kozi ya dogo ( ufundi huu wengine hatuna ABC nao so nimekosea Nikaselect tofauti kidogo na kinachohitajika .....ikawa imeenda .....
Kuwapigia Ili nipate kufuta Ile selection ... wananiambia ndo umekosea tayari masharti ya ajira so umekosa tayari ....
Yaani nimeishiwa nguvu tu hapa ......🙌🙌
Nam mkuu imekupa ujumbe wa maombi yako kufanikiwa?.
YahNam mkuu imekupa ujumbe wa maombi yako kufanikiwa?
Ahaa pole JE pale kwenye add education wewe ulichagua IV au certificate?Yah
Na Kila nikiingia inasema already applied for a job ......
Na sioni option ya kufuta Ili niselect hiyo iliyo sahihi .....option haipo ...
Kuwapigia ,jibu walonipa dah nimechoka .......kumwambia dogo mwenyewe ameishiwa nguvu tu kama mimi.....
Jioni yangu Leo imeharibika ...nimevurugika t hapa..
Msaada wakuu ....
Nimefanya Kila kitu ila nikakosea kwenye selection ya kozi ya dogo ( ufundi huu wengine hatuna ABC nao so nimekosea Nikaselect tofauti kidogo na kinachohitajika .....ikawa imeenda .....
Kuwapigia Ili nipate kufuta Ile selection ... wananiambia ndo umekosea tayari masharti ya ajira so umekosa tayari ....
Yaani nimeishiwa nguvu tu hapa ......🙌🙌
YahAhaa pole JE pale kwenye add education wewe ulichagua IV au certificate?
Nahisi tayari maana nikitaka kuselect Ile kozi naambiwa tayari umesha apply kozi nyingine.....Walipokea kabisa?
unaweza ku-reapply jaribu kutumia acc ingine uanze na upya kila kituYah
Na Kila nikiingia inasema already applied for a job ......
Na sioni option ya kufuta Ili niselect hiyo iliyo sahihi .....option haipo ...
Kuwapigia ,jibu walonipa dah nimechoka .......kumwambia dogo mwenyewe ameishiwa nguvu tu kama mimi.....
Jioni yangu Leo imeharibika ...nimevurugika t hapa..
Nimeingiza taarifa za kidato Cha nne nikasave ....Ahaa pole JE pale kwenye add education wewe ulichagua IV au certificate?
Shukran kwa msaada chiefunaweza ku-reapply jaribu kutumia acc ingine uanze na upya kila kitu