Qurrat ain Ally
Member
- May 22, 2024
- 10
- 0
Yaniletea fail to process application nifanye vipi msaada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana kwangu mimi, niliapply kwa ajira2, lakin leo nimejaribu kwa email ile ile ya mwanzo kweny hii link ya ajira. tpf wameniambia email taken... means ile application ya mwanzo inatambulika na system yao..Yes kila kitu kilekile,
Ila this time nlivyoapply nlivorudi tena nmeambiwa already applied
Hello Samani mie nikienda kwenye apply job inasema failed to process the application,shida itakua nini msaada
😂😂 nini kimekukuta mkuu..jamani pitie account zenu mukague vyeti vyenu [emoji23]
usije ukaeedit wacha ivo ivo yalonikuta mungu anajua
Kwa jinsi ulivyoiweka hii picha mungu pekee ndio msaada kwako weka vizuri usaidike ndugu.
Ukubonya crt+u? Ndugu Kwa bahati mbayaSASA HIVI NDIO VITU GANI?
Angalia size ya cover letter yakoHello Samani mie nikienda kwenye apply job inasema failed to process the application,shida itakua nini msaada
Angaliab kwenye applied job ujiridhishe.Maana kwangu mimi, niliapply kwa ajira2, lakin leo nimejaribu kwa email ile ile ya mwanzo kweny hii link ya ajira. tpf wameniambia email taken... means ile application ya mwanzo inatambulika na system yao..
Habari wadu,
Nilikuwa naomba kuuliza kuhusu ajira hizi za polisi nimefanikiwa kuomba lakini nikiingia kwenye view attachment nakuta vyeti vya mtu mwingine kabisa tofauti ya vyeti ambavyo nimeattach mimi alafu nikilog out nikaingia u
Umetumia link ipi??huu ujinga ulinitokea piaHabari wadu,
Nilikuwa naomba kuuliza kuhusu ajira hizi za polisi nimefanikiwa kuomba lakini nikiingia kwenye view attachment nakuta vyeti vya mtu mwingine kabisa tofauti ya vyeti ambavyo nimeattach mimi alafu nikilog out nikaingia tena nakuta tena vimechange tofauti na nilivyoviona mwanzo
Angalia size ya cover letter yakoYaniletea hivi msaada
Cover letter yatakiwa kua na size ngapi??Angalia size ya cover letter yako
Kwa jinsi ulivyoiweka hii picha mungu pekee ndio msaada kwako weka vizuri usaidike ndugu.
Nb Kwa haraka haraka education qualifications ulizoweka azimach na job discription unayoiomba chunguza vizuri utagundu
Nimekutxt private naomba msaada wakoKwa jinsi ulivyoiweka hii picha mungu pekee ndio msaada kwako weka vizuri usaidike ndugu.
Nb Kwa haraka haraka education qualifications ulizoweka azimach na job discription unayoiomba chunguza vizuri utagundua