BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
😂😂😂😂 hogo la jang'ombeMihogo ipo mingi tu... Sema nakuonea huruma hilo karavati litachanika bila mpangilio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 hogo la jang'ombeMihogo ipo mingi tu... Sema nakuonea huruma hilo karavati litachanika bila mpangilio
ajira2 ipo offline, na ajira1 on lakini ni nzito sana hakuna kitu unaweza fanya humowashafungia link website hazifunguki ??
Mkuu nimekuchek pm naona kimyaMihogo ipo mingi tu... Sema nakuonea huruma hilo karavati litachanika bila mpangilio
mzigo hadi sa iv hamna kitu aseeeeajira2 ipo offline, na ajira1 on lakini ni nzito sana hakuna kitu unaweza fanya humo
Ngoja niingie mkuuMkuu nimekuchek pm naona kimya
Unajua?Hivi mfumo wa kutuma maombi ya ajira jeshi la polisi ni kwangu tuu unasumbua ama na wengine mmekutana na changamoto hii?
Mfumo wa ajira.tpf.go.tz uko poa Sana saiz sema unaload kidogoUki apply ajira 2 na kufanikiwa,ukija ku log in ajira.polisi taarifa zako hazitambuliki wanataka u sign up tena..hii imekaaje
Kwa iyo systeam haijafungwa?Mfumo wa ajira.tpf.go.tz uko poa Sana saiz sema unaload kidogo
Unafunguka mkuuKwa iyo systeam haijafungwa?
wameongeza tena siku 5 ila bado wanasisitiza maombi yote yatumwe kwa ajira.tpf.go.tz lakini ajabu ni kuwa hawajaikana/ kukanusha kuwa ajira2.go.tz hawaitambui View attachment 2996263
Mi 5 tenaKwa iyo systeam haijafungwa?
Email ulitumia ile ile ya ajira2 ? maana mimi kwangu nimejaribu weka email ileile wameniambia email taken... means kwenye database tayari wanataarifa zangu za mwanzoMtandao uko poa sasa hivi,
Guys wote tuloapply kwa ajira2 ukija kwa ajira unaonekana hukuapply
Mm nmerudia tena in less than 2mn nmeapply tena
Kindly reconsider
Yes kila kitu kilekile,Email ulitumia ile ile ya ajira2 ? maana mimi kwangu nimejaribu weka email ileile wameniambia email taken... means kwenye database tayari wanataarifa zangu za mwanzo