Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa account moja?Mtu ka. Apply mara mbili itamletea shida?
ambae bado anashindwa ku apply aje nimsaidie atachangia bando tu
Mimi bado ninachangamoto kiongozi...nimepunguza size ya kila kitu lakin nikibonyeza apply inaandika fail to process applicationambae bado anashindwa ku apply aje nimsaidie atachangia bando tu
Ajira na ajira 2 taarifa sawaKwa account moja?
Rudia Mara nying itakubalnamba ya NIDA ni sahihi lakini tunakutana na Error hii
View attachment 2996768
Au Namba inaandikwaje??
nimefuta nambari ya mwisho then nikaingiza tena.Rudia Mara nying itakubal
futa nambari ya mwisho, baadae irudishe tena.Au Namba inaandikwaje??
find jobWakuu seemu ya kuattach barua ya maombi ni wapi kwa tunao ombea form four
Pia ukienda kwenye sehemu ya CV imeandika kuwa wanaopaswa kuambatanisha Cv ni kwa degree na fani
Form 4 and 6 are exempted...
Je ni sawa usipoweka CV kwa form 4?
Pale kwenye attach cover letter ndipo noattach barua ya maombi mkuu?find job
select form 4
ndioPale kwenye attach cover letter ndipo noattach barua ya maombi mkuu?
Namba umeandikaje na ile mikato ama umeachanimefuta nambari ya mwisho then nikaingiza tena.
system imekubali
Maana imegoma kila napojaribu kuandika njia zotendio
Mimi bado ninachangamoto kiongozi...nimepunguza size ya kila kitu lakin nikibonyeza apply inaandika fail to process application