Changamoto ya kutuma Maombi ya Ajira Jeshi la Polisi

I

kama utaapply kwa kutumia cheti cha form 4&6 CV haitajiki utatujazia server na kama unavyojua server yetu ni 500gb storege na bandwith 2-3, ila kwa wale certificate, diploma na degree ndio wanaattach cv
Lakin mbona inaanika REQUEST TIME OUT?
 
We umekamilisha kwani maana mi hii ni siku ya tatu nakesha lkn wapi yaan kipengele cha ku upload cover letter na kuchagua mkoa ndio inazingua
Mkuu mbna umeajiachia details zako Tena😁
 
ila cable si zilikatika huko baharini Wakuu, au mshasahau hizo taarifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…