Changamoto ya malipo aliexpress

Changamoto ya malipo aliexpress

canne siame

Member
Joined
Sep 17, 2015
Posts
5
Reaction score
5
Habari wakuu nina changamoto ya kufanya malipo aliexpress leo siku ya 5 nmejaribu hata kutumia account ya jamaangu bado nimejaribu kutumia visa card ya voda wap nmejarbu kuwasiliana na benk husika kuona kama kuna tatizo wamenambia wao hakuna tatizo nmewachek aliexpress pia na wao vivyo hvyo mbaya zaid wamenambia nitumie paypal cha ajabu kwa account yangu hakuna option ya kulipia kwa paypal cjui ni kwa wote au la
Kama kuna yeyote aliekutana na hii kadhia tujulishane alifanyaje au itakua ni mfumo tu umeyumba kwa siku za hvi karibuni nimekua nikilipia mara kadhaa hvyo hii imekuja ghafla tuu juzi hapa
picha inaonesha message nayoipata nikitaka lipia
 

Attachments

  • Screenshot_2025-02-18-10-19-04-852_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
    Screenshot_2025-02-18-10-19-04-852_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
    272.6 KB · Views: 5
Mkuu samahan, hapohapo naomba nikuulize, ..ukiagiza na hawa jamaa mzigo unaupokea kwa njia gani?
 
Habari wakuu nina changamoto ya kufanya malipo aliexpress leo siku ya 5 nmejaribu hata kutumia account ya jamaangu bado nimejaribu kutumia visa card ya voda wap nmejarbu kuwasiliana na benk husika kuona kama kuna tatizo wamenambia wao hakuna tatizo nmewachek aliexpress pia na wao vivyo hvyo mbaya zaid wamenambia nitumie paypal cha ajabu kwa account yangu hakuna option ya kulipia kwa paypal cjui ni kwa wote au la
Kama kuna yeyote aliekutana na hii kadhia tujulishane alifanyaje au itakua ni mfumo tu umeyumba kwa siku za hvi karibuni nimekua nikilipia mara kadhaa hvyo hii imekuja ghafla tuu juzi hapa
picha inaonesha message nayoipata nikitaka lipia
Pole mkuu, nilishawakupata kadhia ya namna hiyo kwa malipo ya paypal kwenda entinty ya UK, nilihangaika sana na benki hola, nikachek na voda hola. It seems malipo ya paypal kwa tz haiwezekani

Akili ikaja tatizo likatatuliwa chap.

Fanya hivi, link kadi yako ya Mpesa na account ya paypal. Then fanya malipo kwa paypal chap kwa haraka.

Then njoo unipe mrejesho hapa,
 
mkuu unapesa ya kutosha kwenye acount yako? maana kuna yale makato ya aliekupa iyo kadi, sijajua huwa ni asilimia ngap inategemea na mtandao au bank gan, hii inaweza ikawa sababu mojawapo pia...
 
Habari wakuu nina changamoto ya kufanya malipo aliexpress leo siku ya 5 nmejaribu hata kutumia account ya jamaangu bado nimejaribu kutumia visa card ya voda wap nmejarbu kuwasiliana na benk husika kuona kama kuna tatizo wamenambia wao hakuna tatizo nmewachek aliexpress pia na wao vivyo hvyo mbaya zaid wamenambia nitumie paypal cha ajabu kwa account yangu hakuna option ya kulipia kwa paypal cjui ni kwa wote au la
Kama kuna yeyote aliekutana na hii kadhia tujulishane alifanyaje au itakua ni mfumo tu umeyumba kwa siku za hvi karibuni nimekua nikilipia mara kadhaa hvyo hii imekuja ghafla tuu juzi hapa
picha inaonesha message nayoipata nikitaka lipia
Wacha kupoteza muda huenda huna salio la kutosha .mbona mimi nafanya kwa voda na inafanya kazi
 
Pole mkuu, nilishawakupata kadhia ya namna hiyo kwa malipo ya paypal kwenda entinty ya UK, nilihangaika sana na benki hola, nikachek na voda hola. It seems malipo ya paypal kwa tz haiwezekani

Akili ikaja tatizo likatatuliwa chap.

Fanya hivi, link kadi yako ya Mpesa na account ya paypal. Then fanya malipo kwa paypal chap kwa haraka.

Then njoo unipe mrejesho hapa,
Mlolongo
 
mkuu unapesa ya kutosha kwenye acount yako? maana kuna yale makato ya aliekupa iyo kadi, sijajua huwa ni asilimia ngap inategemea na mtandao au bank gan, hii inaweza ikawa sababu mojawapo pia...
Hili ndo tatizo lake hakuna kukimbia kimbia atumie voda afanye coversion ya currency kwa kutumia bank kuu sio google na makati ya voda ayazingatie , hizo bei zinazoweowa kwa Convo ya TZS Haina uhalisia set currency usd then go bank kuu fanya coversion kamazigo ni 100k weka 110k wakate chao then reload card to mpesa
 
Mkuu samahan, hapohapo naomba nikuulize, ..ukiagiza na hawa jamaa mzigo unaupokea kwa njia gani?
Nimeshaagiza vitu vingi kwa AliExpress, mzigo huwa unakuja kwa ndege na utaupokea kuanzia siku ya 13 mara baada ya kufanya malipo., mzigo utaletewa mpaka ulipo kama ulijaza location yako vyema kupitia kampuni ya Speedaf.
Mkuu samahan, hapohapo naomba nikuulize, ..ukiagiza na hawa jamaa mzigo unaupokea kwa njia gani?
 
Huna haja ya hayo jaza jina familia mkoa na nchi tu ma number za simuzigo unafika mkoani kwako kwa mwanza ofisi zikoza speedaf pale nyanza karibu tanesco au cbe old
Mkuu kwema, hao speedaf unakontact zao ushare hapa, maana hiyo location ni ngumu kuwapata, old cbe ni kama vile imekuwa shoping mall na juu ni hotel. Ninauhitaji wa kuagiza bidhaa kwa kutumia alexpress so ukinisaidia kupata hiyo kampuni ntashukuru🙏🏾
 
Mkuu kwema, hao speedaf unakontact zao ushare hapa, maana hiyo location ni ngumu kuwapata, old cbe ni kama vile imekuwa shoping mall na juu ni hotel. Ninauhitaji wa kuagiza bidhaa kwa kutumia alexpress so ukinisaidia kupata hiyo kampuni ntashukuru🙏🏾
Humo humo ndani ingia mpaka mwisho uliza speedaf watakuonyesha hakuna number mzigo ikifika wanapiga simu, zamani walikuwa pale jengo la madini karibu na sabasababilemela wakaamia balewa mitaa ya nuakahoja now wako hapo cbe
 
Humo humo ndani ingia mpaka mwisho uliza speedaf watakuonyesha hakuna number mzigo ikifika wanapiga simu, zamani walikuwa pale jengo la madini karibu na sabasababilemela wakaamia balewa mitaa ya nuakahoja now wako hapo cbe
Thank you in advance mkubwa🙏🏾
 
Mimi ni mtumiaji wa mtandao huo na nina uzoefu hapo hamna shida yeyote ongeza pesa kwenye kadi yako unayofanyia manunuzi mfano. Kama unataka kununua kifaa cha Tsh 3000 uwe na hela ya ziada kuna makado hapo kwenye kadi yenyewe pindi u apofanya hiyo transaction na pia malipo mengine hufanyika ni kama unakatwa mara 3 hivi hivyo ongeza pesa uweze kufanya manunuzi vizuri bila shida
 
Back
Top Bottom