Changamoto ya OTEAS: Kwenye machaguo ya shule tuna attach barua gani? Baadhi ya haifungui TAMISEMI

Mm natumia majina mawil kwenye vyeti na mwaka Jana ilikubal kwa maijina mawl na nkaaply
 
Hivi hizo tovuti za serikali ya Tanzania huwa zinatengenezwa na panya wa SUA
 
KWA WANAOPATA CHANGAMOTO YA KURESET PASSWORD


Kwenye sehem ya index number wakati unareset password weka Email yako ulotumia wakat unafungua akaunti. Utatumiwa nywila ako
 
Masaada tafadhali jmn

Haioneshi course tunafanyaje apa
 
KWA WANAOPATA CHANGAMOTO YA KURESET PASSWORD


Kwenye sehem ya index number wakati unareset password weka Email yako ulotumia wakat unafungua akaunti. Utatumiwa nywila ako
Aise mbona nimejaribu inaniletea huu ujumbe, kureset password bado ashindwa mwenye solution ya hii issue msaada plz!


 
Wadau embu tusaidiane, kwani ni sheria au ni lazima barua ya maombi ya kazi iandikwe kwa mkono? Kama jibu ni mdio wanachoangalia ni nini? Muandiko au? [emoji4] Kama ulisha wahi kuandika barua yamaombi ya kazi kwa mkono au kwa ku type alafu ukapata unaweza pia kutupa uzoefu!
 
Kwa ufupi sanaa...

Mwandiko wako unawezo wa kuongea mengi sana kuhusu wewe!!
 
wakati naomba ajira niliandika barua kwa kalamu nikapata ilikiwa 2010. Sijui kama kuna utaratibu rasmi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…