Changamoto ya OTEAS: Kwenye machaguo ya shule tuna attach barua gani? Baadhi ya haifungui TAMISEMI

Changamoto ya OTEAS: Kwenye machaguo ya shule tuna attach barua gani? Baadhi ya haifungui TAMISEMI

Msaada wadau kila ninapo change passward inakuja ivi na nimesahau pasward
Screenshot_2021-05-11-08-28-19.jpg
 
Wakuu msaada, nimechagua shule tano kama kawaida ila nimekuja ku-log in nikakuta shule saba (zimeongezeka mbili ambazo sikuzichagua) nimejaribu kufuta moja, imefutika but hapo hapo ikajirudia shule moja wapo kati ya tano nilizochagua mwanzo. nime-log out then nika-log in tena, cha ajabu shule niliyoifuta nimeikuta na iliyojirudia baada ya kufuta mwanzo nayo ipo hivyo jumla machaguo yamekuwa NANE!! please msaada sijui ni system ime-compromise au tatizo nini wakuu?
 
Wakuu msaada, nimechagua shule tano kama kawaida ila nimekuja ku-log in nikakuta shule saba (zimeongezeka mbili ambazo sikuzichagua) nimejaribu kufuta moja, imefutika but hapo hapo ikajirudia shule moja wapo kati ya tano nilizochagua mwanzo. nime-log out then nika-log in tena, cha ajabu shule niliyoifuta nimeikuta na iliyojirudia baada ya kufuta mwanzo nayo ipo hivyo jumla machaguo yamekuwa NANE!! please msaada sijui ni system ime-compromise au tatizo nini wakuu?
 
Mods walipita na comment yangu siyo.
Mungu awabariki
 
Salaam Wakuu,

Nimefungua mada hii maalumu ili kwa pamoja tusaidiane na tushauriane katika changamoto na mikwamo yoyote tunayokumbana nayo wakati wa utumaji wa maombi katika ajira mpya zilizotangazwa na Serikali hivi karibuni.


Kwa taarifa zaidi kuhusu ajira hizo soma:
-
Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya


Kwa ufafanuzi wa jumla wa namna ya kutuma maombi soma kiambatisho hiki cha PDF hapa chini
 

Attachments

Habari gani ndugu zangu, poleni kwa majukumu ya siku. Ngoja niende kwenye maada moja kwa moja. kuna hizi ajira za TAMISEMI zilizotangazwa hapa juzi kati tarehe 09/05/2021, watu wanaomba kujaribu bahati yao.

Mimi ni mmoja wa watu wanaotaka kuomba, sikuwahi kujua kuwa kuna mfumo wa ajira tamisemi, nilipoziona hizi ajira nikajisemea moyoni nitatuma wiki hii hard copies lakini leo hii baada ya kuingia JF nimeona kuna ishu ya kujisajili kwenye mfumo.

Nimejaribu kujisajili lakini mfumo unaikataa namba yangu ya mtihani naambiwa namba ya mtihani sio sahihi. Swali langu kwa waliofanya usajili hasahasa wale Kada ya Afya naomba mniambie format ya namba ya kituo au namba ya mtihani inapaswa iweje?

Natanguliza shukrani na samahani kwa uandishi wangu.

Niliweka namba ya mtihani kwa format ya S3503.0023.2001(Mfano tu), mfumo Unasema namba haipo na wakati nina cheti na matokeo yangu yapo kwenye mfumo hadi leo.
 
Habari gani ndugu zangu, poleni kwa majukumu ya siku. Ngoja niende kwenye maada moja kwa moja. kuna hizi ajira za TAMISEMI zilizotangazwa hapa juzi kati tarehe 09/05/2021, watu wanaomba kujaribu bahati yao.
Mimi ni mmoja wa watu wanaotaka kuomba, sikuwahi kujua kuwa kuna mfumo wa ajira tamisemi, nilipoziona hizi ajira nikajisemea moyoni nitatuma wiki hii hard copies lakini leo hii baada ya kuingia JF nimeona kuna ishu ya kujisajili kwenye mfumo.
Nimejaribu kujisajili lakini mfumo unaikataa namba yangu ya mtihani naambiwa namba ya mtihani sio sahihi. Swali langu kwa waliofanya usajili hasahasa wale Kada ya Afya naomba mniambie format ya namba ya kituo au namba ya mtihani inapaswa iweje ?? Natanguliza shukrani na samahani kwa uandishi wangu.
Niliweka namba ya mtihani kwa format ya S3503.0023.2001(Mfano tu), mfumo Unasema namba haipo na wakati nina cheti na matokeo yangu yapo kwenye mfumo hadi leo
S18665-6764
 
Wakuu hope mko poa.

Mwaka Jana , niliomba ajira za ualimu lakini nilikosa.

Ule mfumo ulitaka applicant kuweka majina matatu wakati Mimi natumia mawili kwenye vyeti vyangu vyote.

Basi kwakuwa system ya zaman ukiruka ata step moja ilikuwa inazngua kukamilisha application, so niliamua jina la Kati nitumie la namba ya nida.

Sasa this year naskia kwa wanaojisairi upya system inaruhusu ATA majina mawili, nimeajalibu kubadilisha lakini wapi yaan kwenye tarifa binafsi, jina la kwanza, la Kati, na la mwisho pamoja na kipengere Cha jinsia hawakubali kubadilisha,

Nifanyeje maana profile yangu Ni majina matatu uku vyeti vyote Ni majina mawili.

Msaada plz
 
Wakuu hope mko poa.

Mwaka Jana , niliomba ajira za ualimu lakini nilikosa.

Ule mfumo ulitaka applicant kuweka majina matatu wakati Mimi natumia mawili kwenye vyeti vyangu vyote.

Basi kwakuwa system ya zaman ukiruka ata step moja ilikuwa inazngua kukamilisha application, so niliamua jina la Kati nitumie la namba ya nida.

Sasa this year naskia kwa wanaojisairi upya system inaruhusu ATA majina mawili, nimeajalibu kubadilisha lakini wapi yaan kwenye tarifa binafsi, jina la kwanza, la Kati, na la mwisho pamoja na kipengere Cha jinsia hawakubali kubadilisha,

Nifanyeje maana profile yangu Ni majina matatu uku vyeti vyote Ni majina mawili.

Msaada plz
Ingia walipoandika KULINGANISHA TAARIFA NA NECTA ukiingia hapo watakwambia ingiza namba yako a mtihani na mwaka Wa mtihani ...ukifanya hivyo jina litabadilika na kuandika kama lilivyo kwenye cheti....Fanya hivyo ukishindwa nijuze. Nitakutumia namba inbox

Sent from my P35 Pro using JamiiForums mobile app
 
Ingia walipoandika KULINGANISHA TAARIFA NA NECTA ukiingia hapo watakwambia ingiza namba yako a mtihani na mwaka Wa mtihani ...ukifanya hivyo jina litabadilika na kuandika kama lilivyo kwenye cheti....Fanya hivyo ukishindwa nijuze. Nitakutumia namba inbox

Sent from my P35 Pro using JamiiForums mobile app
Mkuu hii kitu nimeuliza toka juzi baada ya mimi kuulizwa na dogo mmoja ambaye amepagawa analia tu kachanganyikiwa masikini😂😂

Screenshot_20210513-090456.png


Kwa kutumia PC na Simu kote uchaguzi wa masomo ya kufundisha hauonekani. Na hii ni baada ya kutumia akaunti iliyokuwepo toka mwaka jana akakuta ina uchaguzi somo moja akafuta ili aongeze masomo matokeo yake yote yamepotea😂😂
 
Mkuu hii kitu nimeuliza toka juzi baada ya mimi kuulizwa na dogo mmoja ambaye amepagawa analia tu kachanganyikiwa masikini[emoji23][emoji23]

View attachment 1782844

Kwa kutumia PC na Simu kote uchaguzi wa masomo ya kufundisha hauonekani. Na hii ni baada ya kutumia akaunti iliyokuwepo toka mwaka jana akakuta ina uchaguzi somo moja akafuta ili aongeze masomo matokeo yake yote yamepotea[emoji23][emoji23]
Hii inahusiana na case yangu ya kuondoa jina la kati
 
Mkuu hii kitu nimeuliza toka juzi baada ya mimi kuulizwa na dogo mmoja ambaye amepagawa analia tu kachanganyikiwa masikini[emoji23][emoji23]

View attachment 1782844

Kwa kutumia PC na Simu kote uchaguzi wa masomo ya kufundisha hauonekani. Na hii ni baada ya kutumia akaunti iliyokuwepo toka mwaka jana akakuta ina uchaguzi somo moja akafuta ili aongeze masomo matokeo yake yote yamepotea[emoji23][emoji23]
Akifungua account mpya na kujaza upya???
 
Ingia walipoandika KULINGANISHA TAARIFA NA NECTA ukiingia hapo watakwambia ingiza namba yako a mtihani na mwaka Wa mtihani ...ukifanya hivyo jina litabadilika na kuandika kama lilivyo kwenye cheti....Fanya hivyo ukishindwa nijuze. Nitakutumia namba inbox

Sent from my P35 Pro using JamiiForums mobile app
Ukiingia hapo haileti madhara? Nsije haribu application upyaaa
 
Naomba kujua ukiondoa document bahati mbaya badala ya kubonyeza badili, nawezaje irejesha na kuweka document hiyo wakuu?
 
Nimekutana na Changamoto hii tokea System imefunguliwa nikijaribu kuadd teaching subject drop-down menu haidisplay list ya masomo vaidi ya SELECT SUBJECT tu. ni masomo ya Arts.. Msaada jinsi ya kutatua changamoto hii account ni yatokea mwaka jana



error1.png
 
Back
Top Bottom