Changamoto za kufanya kazi na Mtu anayekaribia kustaafu kwa heshima

Changamoto za kufanya kazi na Mtu anayekaribia kustaafu kwa heshima

uran

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
10,392
Reaction score
15,948
Nawasalimu,

Twende kwenye mada.

Kuna mzee wangu tumefanya kazi poa sana Three years back.

Amebakisha 1 year, 3 Months kustaafu rasmi utumishi.

Imekuwa changamoto sana kufanya nae kazi kipindi hiki, anaonekana mtu mwenye mawazo sana, na kugeuka kuwa mkosoaji wa kila kitu tunachofanya.

Kwasababu ya cheo alichonacho kumshauri inakuwa ngumu sana,

Hivi wakuu huwa ni kawaida Watarajiwa wastaafu kuwa na hizi tabia?

Kazi zinakuwa ngumu kidogo.

Hebu share uzoefu wako
 
Mara nyingi mtu akikaribia kustaafu anakuwa na mawazo mengi sana. Pia chawa wanampa stress maana kila mmoja anampangia namna ya kutumia mafao yake. Mvumilie
Si mchezo mkuu.

Anaogopa sana, yaani vitu vidogo ana mind balaa.

Kuna zile warsha za wanaotarajia kustaafu, hizo ndio hataki kusikia kabisa.

Mungu amsaidie kwa kweli.
 
Wengi huogopa kualibu pension yake.maana hapo kwa akifukuzwa kazi hapati.
Lakini pia kusubiria kustaafu na 60yrs, inafanya mtu anazoofu zaidi.

Kuna mwenzake alistaafu mwaka juzi, akakamatwa na kimada, kikamtapeli jamaa akapata stroke akakata moto.

Na yeye pia alikuwa hapendi kabisa kuhudhuria warsha yoyote ile inayohusu maandalizi ya kustaafu.
 
Nawasalimu,

Twende kwenye mada.
Kuna mzee wangu tumefanya kazi poa sana Three years back.

Amebakisha 1year, 3 Months kustaafu rasmi utumishi.

Imekua changamoto sana kufanya nae kazi kipindi hiki, anaonekana mtu mwenye mawazo sana, na kugeuka kuwa mkosoaji wa kila kitu tunachofanya.

Kwasababu ya cheo alichonacho kumshauri inakuwa ngumu sana,

Hivi wakuu huwa ni kawaida Watarajiwa wastaafu kuwa na hizi tabia?

Kazi zinakuwa ngumu kidogo.

Hebu share uzoefu wako
Kaa kimya chota uzoefu. Au jiuwe.
 
Back
Top Bottom