Changamoto za kufanya kazi na Mtu anayekaribia kustaafu kwa heshima

Changamoto za kufanya kazi na Mtu anayekaribia kustaafu kwa heshima

Ushaligundua Hilo now lifanye iwe your personal mission Mzee wa watu astaafu Salama baraka zake utazipata badae.
Kiukweli huyu mwamba alikuwa ananishirikisha mambo yake hapo nyuma, na nilishamshauri as kuna demu mmoja alishaanza kumganda.

Nikamwambia inawezekana ameshapata details zake kuhusu muda aliobakiza, atampiga pabaya.

Na hivyo siku hizi hawa mabinti wanaloga sana.
Hilo alinielewa.
But from January 2023. Dingi anakuwa mbogo.
 
Hicho kikokotoo ni cha kibabaishaji sana. Mstaafu hupewa kwa mkupuo 33% pekee ya mafao yake. Mfano kama ulitakiwa kupata milioni 100, basi utapewa milioni 33 tu!

Halafu hela nyingine inayobakia unalipwa kama mshahara kwa miaka 12 tu, then wanasikitisha. Na ikatokea ukondoka duniani kabla ya hiyo miaka 12, basi hiyo hela inakuwa ni mali ya serikali.

Wastaafu wengi wanalalamikia hicho kikokotoo. Maana hiyo 33% wanayopewa, huwa haiwasaidii kututatua changamoto zote wanazo kumbana nazo baada ya kustaafu.
Hivi mkuu, Serikali kuna namna inafanya hawa watu wanaostaafu wafe mapema.

Hili jambo nilakufanyia uchunguzi kwa kweli.
 
Ukiwa umejiandaa vizuri hutakuwa na stress za kustaafu. Ila kama pesa ulikuwa unafuja unakumbuka shuka alfajiri ndiyo utakuwa na stress na visirani Sana. Mtu kama Una mshahara mzuri hakikisha unakuwa a fixed deposit ya 500m by the time unastaafu na fixed assets za kutosha. Hapa hutapata tabu kabisa na kila mwaka utakuwa unatengeneza faida zaidi ya mil 50 na pension yako. Na mapato kwenye assets. Yaani wewe ni kufanya mazoezi na KAZI ndogondogo nyumbani. Narudia uzeeni usilale au kukaa kusoma.magazeti. Bora ufuge hata kuku wa kienyeji uwatembelee bandani. Uzee maana yake ni kufanya viungo vyako active. Ukikaa sebuleni au nje kusoma magazeti utaporomoka viungo kwa speed ya radi.
Si mchezo.
 
Stress za kutojiandaa zinamsumbua... huwa kama wameingiwa roho ya mauti.
Kabisa, kuna wakati mwamba anakasirika hadi midomo ina vibrate akiwa anaongea, kitu ambacho hakikuwepo.
 
Hivi mkuu, Serikali kuna namna inafanya hawa watu wanaostaafu wafe mapema.

Hili jambo nilakufanyia uchunguzi kwa kweli.
Sema huwa inawaombea wafe mapema baada tu ya kustaafu. Na ushahidi ni huu utaratibu wao wa sasa wa kuwataka wastaafu kwenda ku update taarifa zao kwenye mifuko ya hifadhi za jamii kila baada ya miezi kadhaa.

Na ikitokea mstaafu hujaenda (kitokana na sababu za kiafya, nk), na mafao yako ya kila mwezi nayo yanasitishwa mara moja, huku wakiamini tayari uneshaondoka duniani.
 
Sema huwa inawaombea wafe mapema baada tu ya kustaafu. Na ushahidi ni huu utaratibu wao wa sasa wa kuwataka wastaafu kwenda ku update taarifa zao kwenye mifuko ya hifadhi za jamii kila baada ya miezi kadhaa.

Na ikitokea mstaafu hujaenda (kitokana na sababu za kiafya, nk), na mafao yako ya kila mwezi nayo yanasitishwa mara moja, huku wakiamini tayari uneshaondoka duniani.
Ni balaa sana.
 
Nawasalimu,

Twende kwenye mada.

Kuna mzee wangu tumefanya kazi poa sana Three years back.

Amebakisha 1year, 3 Months kustaafu rasmi utumishi.

Imekua changamoto sana kufanya nae kazi kipindi hiki, anaonekana mtu mwenye mawazo sana, na kugeuka kuwa mkosoaji wa kila kitu tunachofanya.

Kwasababu ya cheo alichonacho kumshauri inakuwa ngumu sana,

Hivi wakuu huwa ni kawaida Watarajiwa wastaafu kuwa na hizi tabia?

Kazi zinakuwa ngumu kidogo.

Hebu share uzoefu wako
Mzee wangu ilikua TOFAUT kidogo Kwa Sasa ana miaka kumi tangia amestaafu....

Kipindi anakaribia kustaafu ofsn kwake yeye ndie alikua mkuu wa kitengo Sasa kutokana na kuajiriwa Kwa new engineer wengi aliombwa awe anapewa contract ya 2years Kwa ajili ya kuwapa uzoefu new engineer...........

Baba alikataa akasema yeye anastaafu...mama mzazi alimlazimisha aendelee na kazi Kwa mkataba mzee alikataa hata sisi watoto alitukatalia....

Issue ya kustaafu ni maandizi mzee anastaafu watoto karibu wote wameshamaliza shule na vyuo vikuu na sio wategemezi ameshajengea Kila mtoto nyumba so pension anayo chukua ni ya kula yeye na mkewe tena ana miradi yake & vice versa is true 😌🙂
 
Mzee wangu ilikua TOFAUT kidogo Kwa Sasa ana miaka kumi tangia amestaafu....

Kipindi anakaribia kustaafu ofsn kwake yeye ndie alikua mkuu wa kitengo Sasa kutokana na kuajiriwa Kwa new engineer wengi aliombwa awe anapewa contract ya 2years Kwa ajili ya kuwapa uzoefu new engineer...........

Baba alikataa akasema yeye anastaafu...mama mzazi alimlazimisha aendelee na kazi Kwa mkataba mzee alikataa hata sisi watoto alitukatalia....

Issue ya kustaafu ni maandizi mzee anastaafu watoto karibu wote wameshamaliza shule na sio wategemezi ameshajengea Kila mtoto nyumba so pension anayo chukua ni ya kula yeye na mkewe tena ana miradi yake & vice versa is true 😌🙂
Tuendelee kujifunza.
Kuajiriwa nako ni changamoto sana kwa kweli.
 
Mala nyingi wazee wanapokalibia mwisho WA kazi yake huwa na mawazo meng sana sababu Kuna baadhi ya mipango Yao haikukamilika, na hata baada ya kuopewa pensheni Yao wataifanyia Nini sababu akipewa pensheni anaingia kwenye tasinia ya biashala, pia mala nyingi mtu huyo anakuwa na maswali mengi kichwani ni biashala gan ntafanya bila kupata hasala,, kiujumla mtu hyo anakuwa na msongo WA mawazo jikaze utakuja kumuelewa baadae
 
Mala nyingi wazee wanapokalibia mwisho WA kazi yake huwa na mawazo meng sana sababu Kuna baadhi ya mipango Yao haikukamilika, na hata baada ya kuopewa pensheni Yao wataifanyia Nini sababu akipewa pensheni anaingia kwenye tasinia ya biashala, pia mala nyingi mtu huyo anakuwa na maswali mengi kichwani ni biashala gan ntafanya bila kupata hasala,, kiujumla mtu hyo anakuwa na msongo WA mawazo jikaze utakuja kumuelewa baadae
Hii ni kweli kabisa😂😂
 
Kikawaida kama umeajiriwa ukiwa na 25yrs hutakiwi kukaa kwenye Ajira Hadi miaka 55,.
Fanya kazi 20 years then toka kajisimamie mwenyewe kwenye shuguli ambazo utakua umeziandaa ,
Kukaa mpak 55/60y kama sio makusudi ya Mungu ni uzembe furani akilini,
 
Mwamba ana nyumba nzuri tu, kwenye uwekezaji sijui kw

Ukiwa umejiandaa vizuri hutakuwa na stress za kustaafu. Ila kama pesa ulikuwa unafuja unakumbuka shuka alfajiri ndiyo utakuwa na stress na visirani Sana. Mtu kama Una mshahara mzuri hakikisha unakuwa a fixed deposit ya 500m by the time unastaafu na fixed assets za kutosha. Hapa hutapata tabu kabisa na kila mwaka utakuwa unatengeneza faida zaidi ya mil 50 na pension yako. Na mapato kwenye assets. Yaani wewe ni kufanya mazoezi na KAZI ndogondogo nyumbani. Narudia uzeeni usilale au kukaa kusoma.magazeti. Bora ufuge hata kuku wa kienyeji uwatembelee bandani. Uzee maana yake ni kufanya viungo vyako active. Ukikaa sebuleni au nje kusoma magazeti utaporomoka viungo kwa speed ya radi.
wewe unaongelea 500m unafanya kazi gani.Walimu,askari magereza,polisi? usilinganishe uwezo wako na kipato chako na wengine ukiona mtu ana hiyo fixed kabla ya mafao ujue kuwa alikuwa anafanya kazi ya mshahara mkubwa mno zaidi ya yote alikuwa fisadi wa kutupa.
 
Kikawaida kama umeajiriwa ukiwa na 25yrs hutakiwi kukaa kwenye Ajira Hadi miaka 55,.
Fanya kazi 20 years then toka kajisimamie mwenyewe kwenye shuguli ambazo utakua umeziandaa ,
Kukaa mpak 55/60y kama sio makusudi ya Mungu ni uzembe furani akilini,
Tunakusubiri wewe utakuwa wa mfano miaka haigandi tutakuona.Mimi shawahi ona ofisa mkubwa sana wa serikali mtaani anakunywa gongo.
 
Wapo wanaopiga hesabu vibaya sana.Mtu akistaafu ndio anafikiria kutafuta kiwanja baada ya kupata kiwanja anaambiwa milioni15 kujenga anaanza akifika lintel hajapauwa hela imekata kibaya zaidi unakuta anamuacha mke wake wa mwanzo anaoa bi mdogo mfuata mafao.
Hela zikiisha anaanza kuwa mkali mkali maana unakuta bi mdogo ameshamzalisha naye anataka ajengewe.Hii tabia wanayo hasa maaskari wale ma trafick waliozoea kunyoosha mkono hela inaingia na watu wa mkoa flani nawahifadhi watajisikia vibaya ila ni mkoa ambao waarabu walipita anga hizo wakawa affect sana kitabia wakawa wavivu sana.
Kikawaida hela ya kustaafu ikiwezekana usiifanye hela ya kujengea nyumba.
 
Tunakusubiri wewe utakuwa wa mfano miaka haigandi tutakuona.Mimi shawahi ona ofisa mkubwa sana wa serikali mtaani anakunywa gongo.
Akili zako zitanuke ziwe Pana , yaani ukiona m1 kafeli unajiona ww huwez na wengine hawawez,
Macho yako yanaona walio feli tu, nakuhurumia pole Sana,
I told you 20yr na hata hiyo ni kwa lazy man mwingine ten years to 15, huyo humkuti Tena uko kwenye Ajira , unakuta yeye amesha tengeneza Ajira nyingi kwa watu,
Anaingiza lak 3 kwa siku, hiyo ni faida ,
Wa Tz wengi Wanajua kuzaana tu, kuongeza kipato ziro ,

That's why this country must be governed dictatolly As JPM did,
and not guided by the ballot box
 
Lakini pia kusubiria kustaafu na 60yrs, inafanya mtu anazohofu zaidi.

Kuna mwenzake alistaafu mwaka juzi, akakamatwa na kimada, kikamtapeli jamaa akapata stroke akakata moto.

Na yeye pia alikuwa hapendi kabisa kuhudhuria warsha yoyote ile inayohusu maandalizi ya kustaafu.
 
Hicho kikokotoo ni cha kibabaishaji sana. Mstaafu hupewa kwa mkupuo 33% pekee ya mafao yake. Mfano kama ulitakiwa kupata milioni 100, basi utapewa milioni 33 tu!

Halafu hela nyingine inayobakia unalipwa kama mshahara kwa miaka 12 tu, then wanasikitisha. Na ikatokea ukondoka duniani kabla ya hiyo miaka 12, basi hiyo hela inakuwa ni mali ya serikali.

Wastaafu wengi wanalalamikia hicho kikokotoo. Maana hiyo 33% wanayopewa, huwa haiwasaidii kututatua changamoto zote wanazo kumbana nazo baada ya kustaafu.
Mkuu ahsante sana, leo ndiyo nimefahamu namna inavyokuwa.
 
Nafikiri ukifikisha 60 ni kustaafu kwa heshima.
kustaafu kwa hiari ni ile kabla ya kufikisha 60.
"Kustaafu kwa heshima" ni neno la kisiasa, kiuhalisia ni: "kustaafu kwa lazima" unapofikisha umri wa miaka 60.
 
Back
Top Bottom