Stress za kutojiandaa zinamsumbua... huwa kama wameingiwa roho ya mauti.Nawasalimu,
Twende kwenye mada.
Kuna mzee wangu tumefanya kazi poa sana Three years back.
Amebakisha 1year, 3 Months kustaafu rasmi utumishi.
Imekua changamoto sana kufanya nae kazi kipindi hiki, anaonekana mtu mwenye mawazo sana, na kugeuka kuwa mkosoaji wa kila kitu tunachofanya.
Kwasababu ya cheo alichonacho kumshauri inakuwa ngumu sana,
Hivi wakuu huwa ni kawaida Watarajiwa wastaafu kuwa na hizi tabia?
Kazi zinakuwa ngumu kidogo.
Hebu share uzoefu wako
Teh ndo akili zenu hizi... ujana ungekua unanunuliwa ungeununua kwa bei yoyote pole sana!Kaa kimya chota uzoefu. Au jiuwe.
Inawezekana kuna mambo hakuyaweka sawa wakati akiwa kwenye nafasi, sasa ajira inafikia tamati anapatwa na msongo.Si mchezo mkuu.
Anaogopa sana, yani vitu vidogo ana mind balaa.
Kuna zile warsha za wanaotarajia kustaafu, hizo ndio hataki kusikia kabisa.
Mungu amsaidie kwa kweli.
Mbona muda bado upo? Mwaka mzima?Inawezekana kuna mambo hakuyaweka sawa wakati akiwa kwenye nafasi, sasa ajira inafikia tamati anapatwa na msongo.
Hilo liwe fundisho kwako, ujipange na kukamilisha malengo yako kabla jua lako halijazama.
Ndio ujinga wao si arudi akasome magazeti HQ yanakaaga tu yanataka walipo vijana ili yawachafulie faili hovyo kabisa haya mazeeSi mchezo mkuu.
Anaogopa sana, yani vitu vidogo ana mind balaa.
Kuna zile warsha za wanaotarajia kustaafu, hizo ndio hataki kusikia kabisa.
Mungu amsaidie kwa kweli.
Siyo kwa watu wote, wengine wanastaafu kwa hiyari miaka 55 tu wafanye mishe zao.Nawasalimu,
Twende kwenye mada.
Kuna mzee wangu tumefanya kazi poa sana Three years back.
Amebakisha 1year, 3 Months kustaafu rasmi utumishi.
Imekua changamoto sana kufanya nae kazi kipindi hiki, anaonekana mtu mwenye mawazo sana, na kugeuka kuwa mkosoaji wa kila kitu tunachofanya.
Kwasababu ya cheo alichonacho kumshauri inakuwa ngumu sana,
Hivi wakuu huwa ni kawaida Watarajiwa wastaafu kuwa na hizi tabia?
Kazi zinakuwa ngumu kidogo.
Hebu share uzoefu wako
Kikokotoo cha kishenzi sana.Vipi anaangukia kwenye kile kikokotoo cha 33%? Kama anaangukia happ, basi mfikishie salamu zangu za pole.
Maana ni wastaafu wachache sana ndiyo wamekielewa hicho kikokotoo cha hovyo.
Hta zile za perdiem hataki??Si mchezo mkuu.
Anaogopa sana, yani vitu vidogo ana mind balaa.
Kuna zile warsha za wanaotarajia kustaafu, hizo ndio hataki kusikia kabisa.
Mungu amsaidie kwa kweli.
Wastaafu wengi wanakilaani sana hiki kikokotoo. Ni vile tu hawana cha kufanya.Kikokotoo cha kishenzi sana.
Lawama zote kwa JPM muasisi.
Kwani si kuna PS Mkuu, tatzo wazee wanafikiri PS ni za watoto na vijana, embu fikiria umestaafu zako unanunua PS 5 yako na Tv ya 56'' hapo unaanza fuga kuku wa mayai ukiwalisha asubuhi mchana ni kuwachungulia alafu unarudi kucheza PS 5 yako sebuleni πππStress,unafikiri kuamka asubuhi hujui unaenda wapi ni kitu kidogo?
Umenichekesha sana ππKwani si kuna PS Mkuu, tatzo wazee wanafikiri PS ni za watoto na vijana, embu fikiria umestaafu zako unanunua PS 5 yako na Tv ya 56'' hapo unaanza fuga kuku wa mayai ukiwalisha asubuhi mchana ni kuwachungulia alafu unarudi kucheza PS 5 yako sebuleni πππ
Anyway mimi sitaacha kamwe kucheza PS