Kiukweli huyu mwamba alikuwa ananishirikisha mambo yake hapo nyuma, na nilishamshauri as kuna demu mmoja alishaanza kumganda.Ushaligundua Hilo now lifanye iwe your personal mission Mzee wa watu astaafu Salama baraka zake utazipata badae.
Hivi mkuu, Serikali kuna namna inafanya hawa watu wanaostaafu wafe mapema.Hicho kikokotoo ni cha kibabaishaji sana. Mstaafu hupewa kwa mkupuo 33% pekee ya mafao yake. Mfano kama ulitakiwa kupata milioni 100, basi utapewa milioni 33 tu!
Halafu hela nyingine inayobakia unalipwa kama mshahara kwa miaka 12 tu, then wanasikitisha. Na ikatokea ukondoka duniani kabla ya hiyo miaka 12, basi hiyo hela inakuwa ni mali ya serikali.
Wastaafu wengi wanalalamikia hicho kikokotoo. Maana hiyo 33% wanayopewa, huwa haiwasaidii kututatua changamoto zote wanazo kumbana nazo baada ya kustaafu.
Si mchezo.Ukiwa umejiandaa vizuri hutakuwa na stress za kustaafu. Ila kama pesa ulikuwa unafuja unakumbuka shuka alfajiri ndiyo utakuwa na stress na visirani Sana. Mtu kama Una mshahara mzuri hakikisha unakuwa a fixed deposit ya 500m by the time unastaafu na fixed assets za kutosha. Hapa hutapata tabu kabisa na kila mwaka utakuwa unatengeneza faida zaidi ya mil 50 na pension yako. Na mapato kwenye assets. Yaani wewe ni kufanya mazoezi na KAZI ndogondogo nyumbani. Narudia uzeeni usilale au kukaa kusoma.magazeti. Bora ufuge hata kuku wa kienyeji uwatembelee bandani. Uzee maana yake ni kufanya viungo vyako active. Ukikaa sebuleni au nje kusoma magazeti utaporomoka viungo kwa speed ya radi.
Sema huwa inawaombea wafe mapema baada tu ya kustaafu. Na ushahidi ni huu utaratibu wao wa sasa wa kuwataka wastaafu kwenda ku update taarifa zao kwenye mifuko ya hifadhi za jamii kila baada ya miezi kadhaa.Hivi mkuu, Serikali kuna namna inafanya hawa watu wanaostaafu wafe mapema.
Hili jambo nilakufanyia uchunguzi kwa kweli.
Ni balaa sana.Sema huwa inawaombea wafe mapema baada tu ya kustaafu. Na ushahidi ni huu utaratibu wao wa sasa wa kuwataka wastaafu kwenda ku update taarifa zao kwenye mifuko ya hifadhi za jamii kila baada ya miezi kadhaa.
Na ikitokea mstaafu hujaenda (kitokana na sababu za kiafya, nk), na mafao yako ya kila mwezi nayo yanasitishwa mara moja, huku wakiamini tayari uneshaondoka duniani.
Mzee wangu ilikua TOFAUT kidogo Kwa Sasa ana miaka kumi tangia amestaafu....Nawasalimu,
Twende kwenye mada.
Kuna mzee wangu tumefanya kazi poa sana Three years back.
Amebakisha 1year, 3 Months kustaafu rasmi utumishi.
Imekua changamoto sana kufanya nae kazi kipindi hiki, anaonekana mtu mwenye mawazo sana, na kugeuka kuwa mkosoaji wa kila kitu tunachofanya.
Kwasababu ya cheo alichonacho kumshauri inakuwa ngumu sana,
Hivi wakuu huwa ni kawaida Watarajiwa wastaafu kuwa na hizi tabia?
Kazi zinakuwa ngumu kidogo.
Hebu share uzoefu wako
Tuendelee kujifunza.Mzee wangu ilikua TOFAUT kidogo Kwa Sasa ana miaka kumi tangia amestaafu....
Kipindi anakaribia kustaafu ofsn kwake yeye ndie alikua mkuu wa kitengo Sasa kutokana na kuajiriwa Kwa new engineer wengi aliombwa awe anapewa contract ya 2years Kwa ajili ya kuwapa uzoefu new engineer...........
Baba alikataa akasema yeye anastaafu...mama mzazi alimlazimisha aendelee na kazi Kwa mkataba mzee alikataa hata sisi watoto alitukatalia....
Issue ya kustaafu ni maandizi mzee anastaafu watoto karibu wote wameshamaliza shule na sio wategemezi ameshajengea Kila mtoto nyumba so pension anayo chukua ni ya kula yeye na mkewe tena ana miradi yake & vice versa is true 😌🙂
Hii ni kweli kabisa😂😂Mala nyingi wazee wanapokalibia mwisho WA kazi yake huwa na mawazo meng sana sababu Kuna baadhi ya mipango Yao haikukamilika, na hata baada ya kuopewa pensheni Yao wataifanyia Nini sababu akipewa pensheni anaingia kwenye tasinia ya biashala, pia mala nyingi mtu huyo anakuwa na maswali mengi kichwani ni biashala gan ntafanya bila kupata hasala,, kiujumla mtu hyo anakuwa na msongo WA mawazo jikaze utakuja kumuelewa baadae
Mwamba ana nyumba nzuri tu, kwenye uwekezaji sijui kw
wewe unaongelea 500m unafanya kazi gani.Walimu,askari magereza,polisi? usilinganishe uwezo wako na kipato chako na wengine ukiona mtu ana hiyo fixed kabla ya mafao ujue kuwa alikuwa anafanya kazi ya mshahara mkubwa mno zaidi ya yote alikuwa fisadi wa kutupa.Ukiwa umejiandaa vizuri hutakuwa na stress za kustaafu. Ila kama pesa ulikuwa unafuja unakumbuka shuka alfajiri ndiyo utakuwa na stress na visirani Sana. Mtu kama Una mshahara mzuri hakikisha unakuwa a fixed deposit ya 500m by the time unastaafu na fixed assets za kutosha. Hapa hutapata tabu kabisa na kila mwaka utakuwa unatengeneza faida zaidi ya mil 50 na pension yako. Na mapato kwenye assets. Yaani wewe ni kufanya mazoezi na KAZI ndogondogo nyumbani. Narudia uzeeni usilale au kukaa kusoma.magazeti. Bora ufuge hata kuku wa kienyeji uwatembelee bandani. Uzee maana yake ni kufanya viungo vyako active. Ukikaa sebuleni au nje kusoma magazeti utaporomoka viungo kwa speed ya radi.
Tunakusubiri wewe utakuwa wa mfano miaka haigandi tutakuona.Mimi shawahi ona ofisa mkubwa sana wa serikali mtaani anakunywa gongo.Kikawaida kama umeajiriwa ukiwa na 25yrs hutakiwi kukaa kwenye Ajira Hadi miaka 55,.
Fanya kazi 20 years then toka kajisimamie mwenyewe kwenye shuguli ambazo utakua umeziandaa ,
Kukaa mpak 55/60y kama sio makusudi ya Mungu ni uzembe furani akilini,
Akili zako zitanuke ziwe Pana , yaani ukiona m1 kafeli unajiona ww huwez na wengine hawawez,Tunakusubiri wewe utakuwa wa mfano miaka haigandi tutakuona.Mimi shawahi ona ofisa mkubwa sana wa serikali mtaani anakunywa gongo.
Lakini pia kusubiria kustaafu na 60yrs, inafanya mtu anazohofu zaidi.
Kuna mwenzake alistaafu mwaka juzi, akakamatwa na kimada, kikamtapeli jamaa akapata stroke akakata moto.
Na yeye pia alikuwa hapendi kabisa kuhudhuria warsha yoyote ile inayohusu maandalizi ya kustaafu.
Mkuu ahsante sana, leo ndiyo nimefahamu namna inavyokuwa.Hicho kikokotoo ni cha kibabaishaji sana. Mstaafu hupewa kwa mkupuo 33% pekee ya mafao yake. Mfano kama ulitakiwa kupata milioni 100, basi utapewa milioni 33 tu!
Halafu hela nyingine inayobakia unalipwa kama mshahara kwa miaka 12 tu, then wanasikitisha. Na ikatokea ukondoka duniani kabla ya hiyo miaka 12, basi hiyo hela inakuwa ni mali ya serikali.
Wastaafu wengi wanalalamikia hicho kikokotoo. Maana hiyo 33% wanayopewa, huwa haiwasaidii kututatua changamoto zote wanazo kumbana nazo baada ya kustaafu.
"Kustaafu kwa heshima" ni neno la kisiasa, kiuhalisia ni: "kustaafu kwa lazima" unapofikisha umri wa miaka 60.Nafikiri ukifikisha 60 ni kustaafu kwa heshima.
kustaafu kwa hiari ni ile kabla ya kufikisha 60.
Teh teh.Stress,unafikiri kuamka asubuhi hujui unaenda wapi ni kitu kidogo?