Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Kuna hiki kipengele nimekiwekea mshale. Hakikubali kuendelea.
View attachment 2196532



Ubaya wake ni kuwa bila kukikamilisha huwezi kuendelea mbele ku upload vyeti. sasa sina hakika kama ni mimi tu au kila mtu akijaribu anakwama hapo kama mimi
IT....wa bongo hiyo kutatua itachukua siku mbili haki vile....kila siku tunaanza upya mbona ajira portal haina majanga kama hayo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…