kwa computer ndio rahisi....
utabonyeza hapo kama picha inavyoonyesha...
View attachment 2203239
ukishabonyeza hapo itafunguka....kama kiambata kitakavyoonyesha hapo chini...kisha utabonyeza hiyo alama iliyozungushiwa duara
View attachment 2203243
utabadilisha taarifa zako kama unavyo taka kisha unasave...
View attachment 2203246
au....unaingia
kwa kubonyeza kama picha inavyoonyesha
View attachment 2203249
harafu unaondoa hiyo taarifa kwa kubonyeza sehemu ya ondoa...baada ya hapo unaweka taarifa zako upya
View attachment 2203252
ukishindwa niambie haraka iwezekanavyo...ila usisahau kuwa hayo yote yanawezekana kwa urahisi ukitumia computer...kwenye simu sina uhakika