#COVID19 Chanjo ni hiari: Spika Ndugai ni nani kuipinga kauli ya Rais?

#COVID19 Chanjo ni hiari: Spika Ndugai ni nani kuipinga kauli ya Rais?

... kibao kimegeuka; waliochanjwa ruksa kwenye mihangaiko ya maisha; wasiotaka chanjo wakae ndani wasiambukize wengine! Wanafunzi kuanzia chekechea inakuwaje? Hili kundi ni wasambazaji wazuri sana wa Covid.
Waliochanjwa, wanahofu gani ya kuambukizwa wakati wanaambiwa hata wakiambukizwa haina madhara kwao? Hizi tafsiri za kipumbavu siyo uthibitisho wa athari ya chanjo kwenye akili za watu wakichanjwa?
 
Waliochanjwa, wanahofu gani ya kuambukizwa wakati wanaambiwa hata wakiambukizwa haina madhara kwao? Hizi tafsiri za kipumbavu siyo uthibitisho wa athari ya chanjo kwenye akili za watu wakichanjwa?
... aulizwe Ndugai!
 
Hizo ni dalili za mwanzo wa athari ya chanjo za J&J

Uchizi


Give me a break! ...
1628831897031.png
... JUST A HANDFUL GUYS AND ...!
 
Unachoshindwa kuelewa ni kuwa Bunge ni muhimili mwingine wa dola tofauti na serikali. Ndani ya Bunge Spika ana mamlaka inayojitegemea na maamuzi yake sio lazima yaendane na maamuzi ya serikali
Spika Hana ubavu wa kujiwekea kanuni yeye. Kama yeye

Lazima bunge Zima likae lipitishe kanuni .Kuwa kujikinga na Corona kifanyike Nini kukaa social distance,kuvaa barakoa au kuchanga? Yeye hawezi tu.kuamka na kusema kuanzia leo kila mbunge aingie bungeni akiwa kachanja!!!

Bungeni Kuna kanuni za maana zilizopitishwa na bunge Hadi za namna ya kuvaa sembuse chanjo? Spika naye mropokaji tu .Bunge halijakaa kupitisha hizo kanuni zake anazoropoka.Hana ubavu wowote wa kumzuia mbunge yeyote asiyechanja kuingia bungeni.Bunge halijaridhia yeye Ni mwenyekiti tu wa kikao Cha bunge sio final say!!!!
 
... aulizwe Ndugai!
Bahati mbaya, chanjo inaathiri ufahamu wa watu. Na huu ni mwanzo. Na ninadhani waundaji wa hili janga, wanaposema ianzwe kwa wenye mamlaka, wajeshi/walinzi, wahudumu wa afya, na wautalii, wanalengo la kudhoofisha mifumo ya fahamu ya viongozi ili wasiwe na uwezo wa ku reason rationally. Lakini pia, inawapa munkari ya kufanya namna chanjo inavyowatuma wakiamini wako sawa. Sasa ukiwa na vikosi kazi vyote hapo juu, vyenye neurological disorder, nani atalinda haki za raia ama raslimali za nchi? Na kwa kuwa lengo ni kuwafanya watu wote mazezeta, basi hao mazezeta wanaonza watatumika kama maroboti ya kuwalazimisha binadmau wengine kwa namna yoyote kama persecutions n.k bila aibu wala adabu kwa katiba za nchi akama anvyofanya huyu jamaa, n.k.
 
Bunge kupitia mh Sipika nasikia eti ataweka zuio la wabunge wote ambao hawatakuwa wamechanjwa wasiingie bungeni

Kwa kauri moja ya Mh Rais huwa ni sheria, Mh Rais alitangaza wakati tu nchi inajiandaa kuingia tayari kwa ajiri ya wananchi kupata chanjo kwamba, Chanjo ni hiari ya mtu

Ikiwa ni kweli, Mh sipika anao huo mpango wa kuweka zuio la wabunge kutokuingia bungeni ikiwa hawatachanjwa, ni kuimgilia mhimili wa Uraisi ambaye ndiye mwenye wananchi wote

Kama ndivyo hivyo, basi Mh Rais atengue kauli yake aseme chanjo ni lazima

Kama sivyo, Sipika tutamburuza mahakamani
Maana yake, sisi tumechanja na ukitaka kuja nasi chanja. Hutaki, ni hiyari yako, baki huko usije nasi, hilo tu!
 
... kibao kimegeuka; waliochanjwa ruksa kwenye mihangaiko ya maisha; wasiotaka chanjo wakae ndani wasiambukize wengine! Wanafunzi kuanzia chekechea inakuwaje? Hili kundi ni wasambazaji wazuri sana wa Covid.
Haya unamiliki mgahawa umechanja wateja hawajachanja hawaji kwako watajipikia vyakula nyumbani .Wewe kula mwenyewe mivyakula yako mwenyewe ndio kuendelea na mishe mishe zako huko
 
Bunge kupitia mh Sipika nasikia eti ataweka zuio la wabunge wote ambao hawatakuwa wamechanjwa wasiingie bungeni

Kwa kauri moja ya Mh Rais huwa ni sheria, Mh Rais alitangaza wakati tu nchi inajiandaa kuingia tayari kwa ajiri ya wananchi kupata chanjo kwamba, Chanjo ni hiari ya mtu

Ikiwa ni kweli, Mh sipika anao huo mpango wa kuweka zuio la wabunge kutokuingia bungeni ikiwa hawatachanjwa, ni kuimgilia mhimili wa Uraisi ambaye ndiye mwenye wananchi wote

Kama ndivyo hivyo, basi Mh Rais atengue kauli yake aseme chanjo ni lazima

Kama sivyo, Sipika tutamburuza mahakamani
Ninyi kila kitu lazima mbishe tu
 
Bunge kupitia mh Sipika nasikia eti ataweka zuio la wabunge wote ambao hawatakuwa wamechanjwa wasiingie bungeni

Kwa kauri moja ya Mh Rais huwa ni sheria, Mh Rais alitangaza wakati tu nchi inajiandaa kuingia tayari kwa ajiri ya wananchi kupata chanjo kwamba, Chanjo ni hiari ya mtu

Ikiwa ni kweli, Mh sipika anao huo mpango wa kuweka zuio la wabunge kutokuingia bungeni ikiwa hawatachanjwa, ni kuimgilia mhimili wa Uraisi ambaye ndiye mwenye wananchi wote

Kama ndivyo hivyo, basi Mh Rais atengue kauli yake aseme chanjo ni lazima

Kama sivyo, Sipika tutamburuza mahakamani
Sasa unajichanganya nini?
Chanjo ni hiari ndio.
Hawajalazimishwa kuchanja.
Ila wakae nyumbani au waende chato kuhiji kwenye kaburi la meko
 
Certainly wewe umechanjwa brain. Unaendeshwa na mob psychology kwa kuwa akili yako haina uwezo wa kureason tena. Madhara ya chanjo hayo, ndugu watazamaji.
... ni kweli, ... yaani tushaingizwa kwenye laptop, na, kwa mujibu wa Gwajima, ni muda muafaka sasa jamaa anabonyeza kale ka KITUFE ka kutufanya 'ZOMBIES'!
1628832761033.png
 
Sasa unajichanganya nini?
Chanjo ni hiari ndio.
Hawajalazimishwa kuchanja.
Ila wakae nyumbani au waende chato kuhiji kwenye kaburi la meko
Wewe kama nani utoe kauli hii na izingatiwe?
 
Bunge kupitia mh Sipika nasikia eti ataweka zuio la wabunge wote ambao hawatakuwa wamechanjwa wasiingie bungeni

Kwa kauri moja ya Mh Rais huwa ni sheria, Mh Rais alitangaza wakati tu nchi inajiandaa kuingia tayari kwa ajiri ya wananchi kupata chanjo kwamba, Chanjo ni hiari ya mtu

Ikiwa ni kweli, Mh sipika anao huo mpango wa kuweka zuio la wabunge kutokuingia bungeni ikiwa hawatachanjwa, ni kuimgilia mhimili wa Uraisi ambaye ndiye mwenye wananchi wote

Kama ndivyo hivyo, basi Mh Rais atengue kauli yake aseme chanjo ni lazima

Kama sivyo, Sipika tutamburuza mahakamani
Wakati mwingine ficheni ujinga,kila jambo lazima mje mitandaoni kusemasema, mambo ya watu yaacheni muwe busy na maisha yenu
 
Walimuua jpm ili wapokee mahari mtoto mzuri Tz aozwe kwa mabeberu
 
"Chanjo ni hiari, ila watakaoingia bungeni ni wale waliotumia hiari hiyo kuchanja"

Hutaki chanjo baki kwenye godown lako endelea kufufua misukule.
 
Back
Top Bottom