#COVID19 Chanjo za Kupambana na Corona (COVID-19): Nini Maoni na Mtazamo wako?
Mimi nafikiri sayansi ni mabishano ya hoja ktk kutafuta ukweli. Sasa mtu akija na hoja za kupotosha ajibiwe kisayansi. Apewe hayo matokeo ya utafiti yanayoharalisha mawazo yako
Unatarajia matokeo yapi zaidi ya yale yanayoelezwa na vyombo husika kama vile WHO na CDC?! Na kama ndo hayo, tutoe mara ngapi?!

Unajua mijadala kama hii ingekuwa ngumu sana zamani kupata taarifa lakini sio zama hizi za Internet ambazo mtu anaweza tu kuingia Google na ku-search "How Effective is COVID-19 Vaccines" na huko atapata taarifa nyingi tu kutoka vyanzo vya kitaalamuna sio kutoka kwa Conspiracy Theorists !!

Mtu aki-Google "How was it possible for COVID-19 Vaccines to be developed so fast" atakutana na majibu ya kitaalamu bila tatizo lolote!!

The problem, watu ni wavivu wa kutafuta taarifa! Na wakizitafuta wanashindwa kuchuja taarifa kwa sababu sio wote wenye uwezo wa kutambua credible source ni ipi!! But on top of that, watu wanapenda sana conspiracy theories!!!

Tangu nikiwa mdogo, nimekuwa nikisikia conspiracy theories za Wazungu kutuletea hiki na kile ili tuzizaane, mara ili tuwe mahanisi, mara hivi... ndo hapo nisipochoka kujiuliza "what's so special tulichonacho cha kuwafanya hao Wazungu watamani kutufuta kiasi hicho"!!
 
Nani amefanya study ya chanjo husika? mheshimiwa, nyamaza ila nenda ukachanjwe. Hiyo study imefanyika lini na wapi? hao wazungu wenyewe wanategemea mrejesho wa "data" za utendaji wa hizo chanjo kutoka kwa guinea pigs wa ulimwengu ambao siyo wazungu! Juhudi zinazotumika kuhimiza chanjo zingetumika katika mambo mengine tungekuwa mbali. zingetumika kuondoa mbu wanaoeneza malaria, hivi sasa mbu wangebakia kwenye makumbusho. 😉
Hizo chanjo hapa zimefanyiwa study na nani kujua madhara ya muda mfupi na muda mrefu? Chanjo zimefika hata hazina mwezi unataka kusema tayari zimefanyiwa study? Again watu sio wajinga, even the uneducated, kuna ujinga mwingi sana tunafanya waafrika..corona haija athiri hata watu elfu 10 nchini then unaweka lengo la kuchanja 60% ya watanzania? Duh.
Chanjo zingine mnazotumia zimefanywa study na nani? Dawa mnazotumia zimefanyiwa study na nani?!
 
Chanjo na dawa zote zinazotumuka Tanzania, majaribio yake yamefanyika Tanzania?!

Unaweza kunionesha ripoti ya chanjo za surua, ndui, polio na magonjwa mengine kama hayo ikiwa ni matokeo ya majaribio ya chanjo hizo kufanyika Tanzania?
Kwani hizi zimejaribiwa wapi na tayari kwa kutumika?

Kama siyo Dunia yote imekuwa sehemu ya majaribio

Hizo ulizozitaja zilijaribiwa kwanza kwa wanyama kisha zikaanza kutumika kwa binadamu, wewe umekula maharagwe ya mabeberu wewe
 
Acha kujimwambafai kwa kukariri mambo usiyokuwa na uhakika nayo ndugu! Hayo yote ma citations yameandikwa na watu ambao hata hujui 'intentions' zao nyuma ya pazia! Hujui kama kilichoandikwa kilitengenezwa au ndio ukweli halisi! Ungeweza kujimwambafai kama ww mwenyewe ulishiriki na kuhakikisha hizo 'findings' ni halisi!
Angalia ulivyo mjinga... nimekuwekea source ya niliyoandika halafu unasema nakariri?! Kwamba hizo citation zimeandikwa na watu... kumbe ulitarajiwa ziandikwa na nani?Yaani nisichukue citation za watalaamu unataka nimfuate Gwajima? Hivi unaelewa unachoandika wewe?
Ni pungu tu ndio hawezi elewa jinsi dunia inavyooperate hasa linapokuja suala la weusi! Tumekuwa guinea pigs kwa mambo mengi sana ya kipumbafu kwa faida ya wazungu!
Look at you!! Yaani unajisahaulisha kwamba chanjo karibu zote mnazoendelea kutumia zinatoka kwa hao hao ambao matapeli kama Gwajima wanawaaminisha kwamba wanawaonea gere!!
Hii covax nayo inapita mlemle! Hili la corona kwetu sio issue kubwa ukilinganisha na makubwa tunayopitia! Isitoshe nguvu inayotumika 'is out of proportion'! Mimtu iliyopoteza uwezo wa kuhoji kama ww kwa kumeza kila kitu hao wazungu 'wanasayansi'
Hivi hapo wakiitwa watu wenye uwezo wa kuhoji nawe utatoka mbele?! Kwa kutumia argument ipi hasa?
wanachosema/kuandika ni hasara sana kwa kizazi hiki!
Na hakuna hasara kubwa kama kujazwa ujinga na watu aina ya Gwajima!!!
Eti 'scientific evidence' hivi unaelewa vizuri hata maana ya hilo neno!?
Kama ile anayoitoa Gwajima anayewajaza ujinga!!!
Una scientific evidence yoyote kuwa miaka 10, 30, 50 baada ya kudungwa covax madhara gani yatawapata waliodungwa na vizavi vyao!?
Useless people like you are really a huge set-back to our existence in this beautiful planet earth!
Dunia ni hatari zaidi inavyokuwa na watu wapumbavu na mbumbumbu aina yako, manake watu wapumbavu aina yako ndio mtaji mkuu wa viongozi wa hovyo na matapeli aina ya Gwajima!!!
 
Kwani hizi zimejaribiwa wapi na tayari kwa kutumika?

Kama siyo Dunia yote imekuwa sehemu ya majaribio

Hizo ulizozitaja zilijaribiwa kwanza kwa wanyama kisha zikaanza kutumika kwa binadamu, wewe umekula maharagwe ya mabeberu wewe
Hivi turudie mara ngapi kueleza kitu kile kile?! Hapo juu tu nimetoa reference ni kwa namna gani chanjo imepatikana mapema kuliko ilivyo kawaida, na majaribio yake yamefanyika fanyika vipi!

Unajua ni kama napoteza muda kubishana na Misukule ya Magufuli... nyie wote hamna hoja ya maana zaidi ya kuongozwa na ukaidi wa JPM kuhusu chanjo!!

FYI, hata chanjo za COVID-19 zilikuwa tested kwa wanyama! The only difference wali-accelerate hizo procedures kutokana na urgent need!
 
Ni mjinga mmoja wala hajui anachokisema huyo
Tafadhali msamehe bure!
watu wengi kumbe ni tatizo sana hapa nchini!
huyo waziri wa Afya aliwahi kuitisha mkutano akiwa na familia yake wanakunywa dawa za Asili kipindi JPM akiwepo ila Leo kutokana na tamaa za madaraka, uchu wa nyadhifa simshangai kujifanya anakana yote aliyokuwa akiyasema!
Hivi wakati ule ukasema vile, Leo unasema hivi
Je ukiondolewa Ofisini
sio ajabu akarudia statements zake za madawa ya asili!
Watu ni wanafiki sana!
Eti kamati ya corona imeundwa na Rais
hiyo kamati ikaleta ripoti utadhani ni vitabu vya Library ya shule ya secondary!
Hadi Leo hakuna anaejua hiyo kamati ilifanyia wapi shughuli zake!
Kama Barrick wakisema chanjo ni lazima basi wacha turudi tukawe machinga mtaani!
SIWEZI KUHATARISHA MAISHA YANGU!
Huwa wanaanza kwa kusema kuwa chanjo sio Lazima
Ila
Juzi Rais wa Ufaransa amesema kuwa ni LAZIMA!
Wewe unastahili KUPUUZWA....
 
Kwa nini ubet wakati chanjo ipo?
Chanjo inaweza kuwa bet hatari zaidi ndiyo maana kwa kuliona Hilo Serikali wakajiondoa kwa lolote litakalojitokeza baada ya chanjo hiyo.
 
labda ya Urusi naweza fikiria kuchanjwa na ikishindikana kabisa labda ya China 😳 ingawa vitu vya wachina tumevifanya kichekesho!
 
Chanjo zingine mnazotumia zimefanywa study na nani? Dawa mnazotumia zimefanyiwa study na nani?!
Zinafanyiwa uhakiki na TMDA na ndiyo maana zinasajiliwa upya hapa nchini. Hiyo JJ tuonyeshe namba ya usajili ya hapa nchini!!
 
Nje kidogo ya mada, niwie radhi mleta uzi.

Huyu mama wanamsakama sana, isitoshe baadhi wanamtukana, ni kwa vile mwanamke, na isitoshe ni muislamu!!!. Je haiwezi kuwa ndio sababu ya kusakamwa kwake!

Kweli Kuna baadhi ya vitu amekosea, mf TOZO ZA MIAMALA. lakini akosolewe kisitaarabu, na isiwe ndio sababu ya imani/jinsia yake ndio wamdhalilishe kiasi icho/wamtukane.
 
Hapo hujajibu hoja hata moja zaidi ya kudhihirisha upumbafu wako kwa kutukana!

Nikikuambia unaripoti au unakariri vitu usivyovijua unatoa povu! Swali ulishiriki ktk utafiti huo hata ukahakikisha kilichoripotiwa ndicho! Or kwa upumbafu wako you are so naive to ignore unthinkable might have happened...cooking data! Ndio ninyi BBC au CNN/ Aljazeera ikiripoti upumbafu kuhusu africa mnaamini na kuamini!

Nipe scientific evidence kuwa hiyo chanjo 5, 10, 30, etc haitakuwa na madhara weye mtafiti mkuu😜!?
'Angalia ulivyo mjinga... nimekuwekea source ya niliyoandika halafu unasema nakariri?! Kwamba hizo citation zimeandikwa na watu... kumbe ulitarajiwa ziandikwa na nani?Yaani nisichukue citation za watalaamu unataka nimfuate Gwajima? Hivi unaelewa unachoandika wewe?

Look at you!! Yaani unajisahaulisha kwamba chanjo karibu zote mnazoendelea kutumia zinatoka kwa hao hao ambao matapeli kama Gwajima wanawaaminisha kwamba wanawaonea gere!!

Hivi hapo wakiitwa watu wenye uwezo wa kuhoji nawe utatoka mbele?! Kwa kutumia argument ipi hasa?

Na hakuna hasara kubwa kama kujazwa ujinga na watu aina ya Gwajima!!!

Kama ile anayoitoa Gwajima anayewajaza ujinga!!!

Dunia ni hatari zaidi inavyokuwa na watu wapumbavu na mbumbumbu aina yako, manake watu wapumbavu aina yako ndio mtaji mkuu wa viongozi wa hovyo na matapeli aina ya Gwajima!!!
 
Zinafanyiwa uhakiki na TMDA na ndiyo maana zinasajiliwa upya hapa nchini. Hiyo JJ tuonyeshe namba ya usajili ya hapa nchini!!
Yale yale ya wapinzani wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kutaka kuoneshwa mkataba as if hapo kabla walishawahi kuoneshwa mikataba ya mambo mengine!!!

Je, wewe unaweza kuonesha namba za usajiri ya chanjo zingine zinazotumika Tanzania kutoka kwa hao hao mnaoaminishana wanawaonea wivu?!

Halafu mambo mengine ni ya kutumia tu common sense!! Hivi kama Rais wa nchi ameidhinisha matumizi ya chanjo, hivi unatarajia hao TMDA watashindwa kutoa namba ya usajiri hata wasiporidhika nayo?!

FYI, kwenye hili la COVID-19 siwezi ku-rely kwenye sources za vyombo vya serikali ambavyo vipo politically corrupted!!
 
Ufunuo 13:16-18

Agano Jipya: Tafsiri ya kusoma kwa urahisi

16 Pia mnyama wa pili aliwaamuru watu wote, wakubwa na wadogo, matajiri na maskini, walio huru au watumwa, wawekewe alama kwenye mikono yao ya kulia au kwenye vipaji vya nyuso zao. 17 Hakuna ambaye angeweza kununua au kuuza bila ya kuwa na alama hii.

Alama hii ni jina la mnyama au namba ya jina lake.

18 Kila mwenye uelewa anaweza kujua maana ya namba ya mnyama.

Hili linahitaji hekima.

Namba hii ni namba ya mtu.

Nayo ni 666.
 
Ni mjinga mmoja wala hajui anachokisema huyo
Tafadhali msamehe bure!
watu wengi kumbe ni tatizo sana hapa nchini!
huyo waziri wa Afya aliwahi kuitisha mkutano akiwa na familia yake wanakunywa dawa za Asili kipindi JPM akiwepo ila Leo kutokana na tamaa za madaraka, uchu wa nyadhifa simshangai kujifanya anakana yote aliyokuwa akiyasema!
Hivi wakati ule ukasema vile, Leo unasema hivi
Je ukiondolewa Ofisini
sio ajabu akarudia statements zake za madawa ya asili!
Watu ni wanafiki sana!
Eti kamati ya corona imeundwa na Rais
hiyo kamati ikaleta ripoti utadhani ni vitabu vya Library ya shule ya secondary!
Hadi Leo hakuna anaejua hiyo kamati ilifanyia wapi shughuli zake!
Kama Barrick wakisema chanjo ni lazima basi wacha turudi tukawe machinga mtaani!
SIWEZI KUHATARISHA MAISHA YANGU!
Huwa wanaanza kwa kusema kuwa chanjo sio Lazima
Ila
Juzi Rais wa Ufaransa amesema kuwa ni LAZIMA!
Kituko kingine hiki hapa👇!
IMG-20210728-WA0011.jpg
 
Back
Top Bottom