#COVID19 Chanjo za Kupambana na Corona (COVID-19): Nini Maoni na Mtazamo wako?
Ukitafuta original video iliyorekodiwa na waandishi wa habari kibao na vyanzo tofauti hakuna sehemu yoyote wanatajwa Waafrika, wala chanjo, wala kupunguza idadi ya watu, wala kuua. Hizi ni propaganda za vilaza kama Gwajima, hii mimi mwenyewe naweza si ni kuondoa sauti na kuigizia matamshi ukataja maneno yako unayotaka.
Elimu!
Elimu!
Elimu!
 
Hakuna sehemu chanjo imetajwa kwenye hiyo video yako.

Anayeongea hajulikani ni nani, hata wewe unaweza ongea hivyo ukaweka video

Kama wazungu wangetaka kutuua wangeshafanya hivyo siku nyingi na sio kusubiri Corona vaccine
Ukichanjwa huwezi kubali
 
Watu ambao hamjui elimu ni nini mna shida sana. Mkisikia kwamba huyu ni mtaalam basi mnashindwa kuhoji.

Halafu kuonesha ushamba wako eti Harvard, Marekani na ufaulu wa juu. Utafikiri unaongea na wanakijiji bwana!...
Wewe uwezo wa daktari unapima kwa kutumia nini? Una ufala flani hivi wa kujifanya unajua huku ni failure.. Wengine wanajua wanajua tuu mzee.

Mtu ambaye cheti chake hakina makarai hata moja huyo anajua tuu.. Kwa hapa Tanzania atakwamishwa na vifaa tuu ambayo huwa nadra kupatikana.. Lakini kama unajua unajua tuu hata cheti kinajionyesha kwa misonge kama yoote.
 
Hizo ni story tu.Raslimali za dunia hazijatumika au kushindwa kumudu watu waliopo
 
Hakuna sehemu chanjo imetajwa kwenye hiyo video yako.

Anayeongea hajulikani ni nani, hata wewe unaweza ongea hivyo ukaweka video

Kama wazungu wangetaka kutuua wangeshafanya hivyo siku nyingi na sio kusubiri Corona vaccine
Za kuambiwa changanya na zako
 
Wabongo ndio maana hatuendelei.

Sisi ni watu wa kuwaza kwamba tunakwamishwa na wengine tuu
 
Watabaki watu bilioni 4 , usiogope.
 
Hili la vaccine limewagawa sana watz .msimamo WA serikali ya Tanzania ni kuikubali chanjo

Viongozi WA opposition wanaikubali chanjo.

Huku kwny grassroot ndio mijadala haikomi.sijui nifuate lipi.

Ngoja nitulie pembeni nijipe MUDA.
Kama wanaochanjwa hawaambukizwi tena nitajua tu maadam si tunaishi nao.

tofauti na awali ambapo shuhuda za waliochanjwa zilikuwa ni ngumu kuzithibitisha; maana hawakuwepo.
 
Wewe uwezo wa daktari unapima kwa kutumia nini? Una ufala flani hivi wa kujifanya unajua huku ni failure.. Wengine wanajua wanajua tuu mzee... Mtu ambaye cheti chake hakina makarai hata moja huyo anajua tuu.. Kwa hapa Tanzania atakwamishwa na vifaa tuu ambayo huwa nadra kupatikana.. Lakini kama unajua unajua tuu hata cheti kinajionyesha kwa misonge kama yoote.

Naona umeshindwa kujibu hoja direct ya kuchambua logic za wataalam mahakamani.

Of course sidhani kama una uwezo wa kujenga hoja.
 
Saudia Arabia mkuu,,tumeshaambiwa mabaharia wote kama hutaki kuchanja,,ticket ya nyumbani tayari.

Huku kwanza bila tawakalna huingii duka lolote na ukikamatwa na police huna hiyo tawakalna ni penalty au ndani...
Saud Arabia siyo ile iliyokuwa inawatrtea waarabu wenzao waphalestine. Hii ya sasa inawapuuza waphalestine. Nadhani umenielewa.
 
Watanzania wenzangu,

Huwezi tokea mzungu kutoka Ulaya na kuja kumwambia huu ukweli,

Msichanjwe chanjo za majaribio.

Ukichanjwa utaugua, ukichanjwa utakufa tu .. chanjo bado ina uncertainty kubwa.

Magufuli ameuawa kwa sababu ya kupigania maisha yenu, mkadanganywa ugonjwa wa moyo.


Unaona marias wenye misimamo hasi dhidi ya chanjo wanauawa na kuandamwa kuuawa, amkeni.


Nawapenda sana watanzania wenzangu.

Mimi ni msomi mkubwa, kiwango cha PhD. Nina uhakika na niwaambiacho..


#KataaChanjoCovid
 
Back
Top Bottom