Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika porojo tu hapa. ww huna scientific means ya kusema corona iliondoka 100% kwa maombi. nani kasema iliondoka?serikali ya awamu ya tano ilituaminisha kuwa korona haipo na iliisha kwa maombi, madaktari, maprofesa,mawaziri wote hata huyu kidamba wa afya naye alituaminsha hivyo hivyo...
Mpuuzi mwingine huyuserikali ya awamu ya tano ilituaminisha kuwa korona haipo na iliisha kwa maombi, madaktari, maprofesa,mawaziri wote hata huyu kidamba wa afya naye alituaminsha hivyo hivyo...
Hii ya sasa kuna genge la wahuni la watu wasiojulikana.Saud Arabia siyo ile iliyokuwa inawatrtea waarabu wenzao waphalestine. Hii ya sasa inawapuuza waphalestine. Nadhani umenielewa.
Ndo maanake mkuuKwani kuna mabadiliko makubwa kwenye antigenic make-up kiasi kwamba hiyo viral protein inayolengwa haiwezi tena kuwa recognised na immune cells.
Modena ndo unamanisha nini?Wakati tunajadili ya j&j, modena wamepandisha bei kufuatia ongezeko la uhitaji wa chanjo hiyo.
Hiyo ni kwa mujibu wa mtazamo wako,ushauri wa bure chanja kwa manufaa yako na ya taifa,kuchanja utajikinga wewe na wengine hivyo kuiweka nguvu kazi ya taifa salama.SABABU 10 YA KWANINI SITACHANJWA
1.Wataalamu wa afya wameshindwa kuniakikishia usalama wangu baada yakuchoma chanjo,serikali inanitaka nijaze fomu kukiri wao kutokuhusika na madhara yeyote yatakayojitokeza.
2.Wataalam hawajatoa maelezo ya nini Kilichopo katika chanjo na kanuni zilizotumika katika utengeneaji.
3.Wataalam wameshindwa kuniakikishia chanjo itakaa muda gani mwilini,mwezi,miezi mwaka au miaka fumbo hili haijulikani
4.Baada yakuchoma chanjo bado nitalazimika kuvaa barakoa.
5.Baada yakuchoma chanjo bado nitaweza kupata maambukizi.
6.Nikipata chanjo bado nitalazimika kuweka social distance(kutokukaribiana na watu).
7.Ndugu zangu wote na mimi wakipata chanjo bado hatutatakiwa kukaribiana wala kukumbatiana.
8.Serikali iliyopita ilituakikishia chanjo hazifai na ilitoa mfano kuna NNCHI fulani walipewa chanjo ikidhaniwa kuzuia kansa ya shingo yakizazi,kumbe ilikuwa kuzuia kuzaa,sasa wakati huu hakuna wakukanusha hili na hata kutoa ufafanuzi juu ya ukweli huo(kuwa ya sasa haina hayo madhara au vingievyo)
9.Serikali imeshindwa kutupa maelezo ya kwanini ilichagua chanjo ya jonson and jonson kati ya chanjo nyingi zilizopo ingali jonson and jonson inatuhuma yakugandisha damu na kusababisha madhara kwa wamarekani.
10.Hakuna kanusho lolote dhidi ya chanjo hizi kubadili DNA,kusababisha utasa..
Chanjo ni HIARI ya mtu,ni kosa kuhamasisha kuchoma au kutokuchoma tuache iwe jambo la mtu mmoja mmoja binafsi nimechagua kutokuchanjwa