Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
ha
hahaah niutoe wapi mkuu hiyo 1990s nilikuwa bado kijusi yaani ndo nimeuskia leo na nimehamasika sana, ngoja nijaribu kukaa hapa huenda na mimi nikapata mbegu..Safiii kabisaaa mkuu!
Unao kiongozi?! Kama unao tunaomba mkuu!
Ndio huu mkuu!!