Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
hahaah niutoe wapi mkuu hiyo 1990s nilikuwa bado kijusi yaani ndo nimeuskia leo na nimehamasika sana, ngoja nijaribu kukaa hapa huenda na mimi nikapata mbegu..Safiii kabisaaa mkuu!
Unao kiongozi?! Kama unao tunaomba mkuu!
Ndio huu mkuu!!
Naamini👍👍Ni kweli mkuu,
Wanasema unatibu magonjwa mengi, ikiwemo high blood pressure (hypertension), blood infections (mchafuko wa damu), mifupa, depression, (msongo wa mawazo), stress, sononi, kusafisha figo, magonjwa ya uambukizi kwenye utumbo , kusafisha kibofu, n.k.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wabongo hapo Tena utawapata Hadi ukimbie mwenyewevipi unaongeza nguvu? maana sie wabongo hapo tu
utasambaa nchi nzima mpaka ndani ndani huko
Chukua pilipilimanga na binzali..changanya ..anywe asubuhi na jion kwa wiki mbili..utanishukuru badae..Wakuu fanyeni jambo basi tukaokoe afya za ma bi mkubwa wetu...juzi nimetoka kumnunulia majani ya parsley nimeambiwa nayo yanatibu blood presure pia na mambo mengine.
Huu mmea uliwahi kuniponya Athma nikiwa binti mdogo...Nilikuwa nikibanwa Mara kwa Mara na kutumia vidonge vya hospital na zile dawa za ku inhale lakini Mambo yalikuwa mperampera, Kama kawaida ya Tanzania Mambo ya milipuko Ni mengi,Mara Ngetwa3,Mara Ngoka11,Mara mayai ya kwale,Mara Kikombe Cha Mwaisapile...Basi ikatokea hili lichapati ,hii kitu nilikunywa Kama miezi miwili Nakumbuka mama yangu aliyapanda kwenye madishi,Basi nakunywa Kama juisi daily....ninachokumbuka baada ya hapo sijabanwa Tena kifua mpaka Sasa nimezeeka....Ila linachefua ukiliona Kama miutelezi gani sijui🥴
😂😂😂Hawa wahuni wa Ngetwa3 walipiga hela za Wananchi....Ule mmea bwana ulikuwa kinywaji poa Sana.Aiseee,,, hongera sana!
Ule mmea kipindi tunautumia magonjwa yalikuwa hayakatizi kabisa!
Hapo kwenye ngetwa eleven na ngokwa umenikumbusha mbali sana! Enzi hizooo!
vipi unaongeza nguvu? maana sie wabongo hapo tu
utasambaa nchi nzima mpaka ndani ndani huko
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wabongo kwa fursa....sawa mi mweka hazinaChangeni nauli ,niwafatie china
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mkuu tangu 1998 una uraibu mpaka leo 22?UMENIMIX BRAINMwenye nalo au taarifa ya mahali lilipo tafadhali tusaidiane maana nahisi kunyong'onyea kwa urahibu wa kulikosa!
Ilikuwa tamu Jamani.Tumekunywa sana juice ya hii kitu tulipokuwa wadogo. Mama alikuwa akitupa kila siku. Umenikumbusha mbali sana mkuu. Sijui iliishia wapi hii kitu jamani
Kombucha Mushroom.Unaitwaje kwa English ni google naona mmeshindwa kuweka picha
Aisee umenikumbusha uchachu wake pia......pole Sana🤣🤣Aha ha haaa! Aha tu mkuu,
I'm addicted, hata hapa tunaposimuliana nahisi ule uchachu wale kwenye ulimi!
Natamani kulipata hata leo hii!
Asante mkuuKombucha Mushroom.
Maibao tea tressures.....black tea fungus....Daa zamani sana huo mmea niliuona. Kuna jamaa alikuwa nao kama sikosei alikuwa anauita "mybao/mibao/maibao". Si na hakika na matamshi ya hilo jina ila mnaweza kuanzia hapo. Enzi hizo kila tukimuona jamaa ametoka kazini akiingia tu kwake kabla hajakaa tumeshafika na vikombe vyetu vya plastiki kujimiminia ilikuwa kama chai ya rangi hivi.
Achemshe majani ya nyanya chungu anywe asubuhi na jioni siku 21Miguu inatokea kumvimba sana