Chapati ya Kichina, mmea unaoishi kwenye maji, Kombucha/tea mushroom

Naamini👍👍
 

Aiseee,,, hongera sana!

Ule mmea kipindi tunautumia magonjwa yalikuwa hayakatizi kabisa!

Hapo kwenye ngetwa eleven na ngokwa umenikumbusha mbali sana! Enzi hizooo!
 
Aiseee,,, hongera sana!

Ule mmea kipindi tunautumia magonjwa yalikuwa hayakatizi kabisa!

Hapo kwenye ngetwa eleven na ngokwa umenikumbusha mbali sana! Enzi hizooo!
😂😂😂Hawa wahuni wa Ngetwa3 walipiga hela za Wananchi....Ule mmea bwana ulikuwa kinywaji poa Sana.
 
vipi unaongeza nguvu? maana sie wabongo hapo tu

utasambaa nchi nzima mpaka ndani ndani huko

Aha ha haaa!

Kwenye hili sifahamu mkuu, lakini unatibu na kuimarisha kinga mwili na utendaji wa mfumo wote wa mwili, huenda (may be) kwa njia Fulani unaweza kuwa unasaidia functional ya eneo hilo!
 
Tumekunywa sana juice ya hii kitu tulipokuwa wadogo. Mama alikuwa akitupa kila siku. Umenikumbusha mbali sana mkuu. Sijui iliishia wapi hii kitu jamani
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mkuu tangu 1998 una uraibu mpaka leo 22?UMENIMIX BRAIN

Aha ha haaa! Acha tu mkuu,

I'm addicted, hata hapa tunaposimuliana nahisi ule uchachu wake kwenye ulimi!

Natamani kulipata hata leo hii!
 
Maibao tea tressures.....black tea fungus....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…