mbenge
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 4,864
- 10,483
Jamaa kilichobakia sasa, anatakiwa tu kusoma hotuba aliyoandikiwa na wasaidizi wake, na tena asome "word by word" na kwa utulivu na wala pasipo kuingiza vionjo vyake mwenyewe ama utani wowote ule.
Kwa maana hata akijaribu kufanya utani anajikuta anatumia maneno magumu ambayo hutuma ujumbe kwa walengwa kama anatoa kashfa. Akikwazika ama kuudhiwa hapo ndipo inageuka kuwa balaa nyingine, hasira zote zinakuwa ktk mafaili anayolala nayo chumbani kwake, hapo ndipo tumbua na teuzi zinapoanzia kwa wasaidizi wake.
Wewe ogopa mtu ambaye wasaidizi wake wengi wa karibu waliokuwa serikalini wamekimbia nyadhifa zao ili kutaka kwenda kutafuta unafuu wa "stresses" ktk ajira za mhimili wa bunge.
Kwa maana hata akijaribu kufanya utani anajikuta anatumia maneno magumu ambayo hutuma ujumbe kwa walengwa kama anatoa kashfa. Akikwazika ama kuudhiwa hapo ndipo inageuka kuwa balaa nyingine, hasira zote zinakuwa ktk mafaili anayolala nayo chumbani kwake, hapo ndipo tumbua na teuzi zinapoanzia kwa wasaidizi wake.
Wewe ogopa mtu ambaye wasaidizi wake wengi wa karibu waliokuwa serikalini wamekimbia nyadhifa zao ili kutaka kwenda kutafuta unafuu wa "stresses" ktk ajira za mhimili wa bunge.