Chato: Gari la matangazo ya mikutano la CHADEMA lanusurika kuteketea kwa moto

Sasa kama Hali ni hiyo mbona nchi hii Vijana wenye afya na nguvu zao nzuri wako Chadema ...Nao wakipewa bangi nchi itakuwaje?
 
Msifieni na mpeni umwamba na ukubwa wa kijinga tu. Mshaurini aache tukana viongozi.
Sasa suluhu ya hayo unayoita "matusi" ni kuchoma moto gari yao?

Ina maana wewe na kichwa chako hicho cha kufugia nywele hujui kuwa kumtukana matusi mtu mwingine ni kosa la jinai?

Kwanini yule anayedai na kudai kutukanwa asiende mahakamani kumshitaki mtukanaji ili sheria ichukue mkondo wake?

Wewe unadhani kwanini nisikuite wewe Kinengunengu ni mjinga na mpumbavu kwa kuwa na fikra hizi?
 
We unataka ulawitiwe sio bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…