Chato: Gari la matangazo ya mikutano la CHADEMA lanusurika kuteketea kwa moto

Chato: Gari la matangazo ya mikutano la CHADEMA lanusurika kuteketea kwa moto

Limechomwa na mizimu ga JPM katika kukasirishwa na unafiki wao!!
 
Hata 1994,walianza mwendo wa Kobe,kisha mwendo wa mjamaica 😭😭😭😭
 
Safi sana .. wangetumia petrol nyingi wabaguzi wa dini hawa ..nawachukia chadema acha tu
Kuna mda mnakosa akili huyo dj ni mkristo, dereva ni mkristo? Tafutene kingine labda!
 
Gari lililokuwa linatumika kufanya matangazo (PA) ya mikutano ya Makamu Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lissu, lenye namba za usajili T 658 DQL limenusurika kuteketea kwa moto usiku huu Chato mkoani Geita baada ya watu wasiojulikana kutaka kufanya jaribio la kulichoma moto likiwa limepaki na magari mengine eneo la Twiga Lodge.

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji lillifika eneo la tukio na kuzima moto kabla hayajatokea madhara zaidi.

=====

Taarifa za awali, Gari ya matangazo (PA) M4C T 658 DQL niliyotangulia nayo kwaajili ya matangazo imenusurika kuteketea kwa moto baada ya ccm kufanya jaribio la kuichoma kama inavyoonekana kwenye picha hapo juu usiku huu saa 1:10 Usiku.

Gari husika baada ya kumaliza mkutano uliofanyika Jimbo la Mbogwe jioni niliondoka nalo kuelekea chato na kuanza matangazo baada ya matangazo lilihifadhiwa TWIGA LODGE ambapo yapo magari ya watu tofauti zaidi ya matano (5) yaliohifadhi pia ila yote yako salama isipokuwa M4C ya chama.

Jeshi la zima moto na uokoaji lilifika eneo la tukio na kuzima moto husika kabla hayajatokea madhara zaidi.

Kinachoendelea sasa ni mimi, DJ Othuman na Dreva Ally kutafutwa hapa chato muda huu kila Lodge wanagonga chumba kwa chumba at wakisema ni zamu yetu kuchomwa moto.

Upuuzi huu unafanywa na Dola + Uvccm.

Yohana Kaunya
KM - Bavicha Taifa ,
Chief of staff Team ya Makamu Mwenyekiti chadema (Mhe. Tundu lissu)
Saa 1:30 Usiku (Chato)
02,Augost 2023.
________

View attachment 2705711
View attachment 2705712
View attachment 2705713


Unajua maana ya neno kunusurika? Limeungua hilo.
 
NAONA CHADEMA WAMESHAANZA KUFANYA MAMBO YAO YA KITOTO!
Ili kupata huruma kwa umma[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Akili za kitoto sana hizi..
#Mtoa Mada umetuhumu direct/moja kwa moja, je Vyombo Vya uchunguzi vimeshafanya kazi yake juu ya tukio hilo? Kwa hao uliowatuhumu?/unaweza kuingizwa hatiani kwa tuhuma zisizo sahihi.
Usikurupuke kujaza upuuzi wako humu katika mambo mazito. Sikiliza ili.
 
Gari lililokuwa linatumika kufanya matangazo (PA) ya mikutano ya Makamu Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lissu, lenye namba za usajili T 658 DQL limenusurika kuteketea kwa moto usiku huu Chato mkoani Geita baada ya watu wasiojulikana kutaka kufanya jaribio la kulichoma moto likiwa limepaki na magari mengine eneo la Twiga Lodge.

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji lillifika eneo la tukio na kuzima moto kabla hayajatokea madhara zaidi.

=====

Taarifa za awali, Gari ya matangazo (PA) M4C T 658 DQL niliyotangulia nayo kwaajili ya matangazo imenusurika kuteketea kwa moto baada ya ccm kufanya jaribio la kuichoma kama inavyoonekana kwenye picha hapo juu usiku huu saa 1:10 Usiku.

Gari husika baada ya kumaliza mkutano uliofanyika Jimbo la Mbogwe jioni niliondoka nalo kuelekea chato na kuanza matangazo baada ya matangazo lilihifadhiwa TWIGA LODGE ambapo yapo magari ya watu tofauti zaidi ya matano (5) yaliohifadhi pia ila yote yako salama isipokuwa M4C ya chama.

Jeshi la zima moto na uokoaji lilifika eneo la tukio na kuzima moto husika kabla hayajatokea madhara zaidi.

Kinachoendelea sasa ni mimi, DJ Othuman na Dreva Ally kutafutwa hapa chato muda huu kila Lodge wanagonga chumba kwa chumba at wakisema ni zamu yetu kuchomwa moto.

Upuuzi huu unafanywa na Dola + Uvccm.

Yohana Kaunya
KM - Bavicha Taifa ,
Chief of staff Team ya Makamu Mwenyekiti chadema (Mhe. Tundu lissu)
Saa 1:30 Usiku (Chato)
02,Augost 2023.
________

View attachment 2705711
View attachment 2705712
View attachment 2705713
Tunawaomba Deep State wawe makini na Hawa CCM kuna siku wataleta vita.
 
Duu naona ni Kiki ya Kizamani sana. Wameona wakiingia hasara kutengeneza Kiki wamelitafuta Gari Bovu na Kulipiga Moto.
Na Hii Mbinu ya Kupita kwenye Nyumba za Watu na Nyumba za Kulala Wageni kujifanya nyie ni CCM lengo likiwa ni kutengeneza taharuki ni Mchezo wa Kitoto. Fanyeni Siasa, huo Upuuzi hautowasaidia Kitu.
Waweza kuwa na akili lakini zikawa kama za mbuzi. Hujaelewa hawa wamesema nini?
 
Kama CHADEMA walishawahi kujipiga bomu kwenye mkutano wao wenyewe pale viwanja vya soweto, Arusha inakuwa ngumu kutoamini hata hilo gari wamelichoma wenyewe ili kupata huruma. CCM haina muda mchafu wa kufikiria kuchoma gari la chama mfu. Tuko bize kutimiza ahadi tulizotoa mwaka 2020.
Nyie ndio mpaka mmeshtukiana kwa huu uchawa wenu. No points at all zaidi ya kubwabwaja
 
Shetani bado yupo kazini ktkl harakati za kuharibu kazi za watu wa Mungu.
Poleni sana CDM, poleni sana watetezi wa raslimali za nchi, Mola yupo na nanyi na shetani hajawi kuwashinda watu wa MUNGU>
 
Masheikh na waislamu wenzangu kwa ujumla kuweni makini kipindi hiki.
 
Jama awakijuwa kua kulikua na kamela ya sisitivi kwenye hiyo ngari na wamelekodiwa
 
Usikurupuke kujaza upuuzi wako humu katika mambo mazito. Sikiliza ili.

KIUTARATIBU HATA HAWA CCM,KATIKA MAONGEZI YAO WANA KOSA FULANI,LAKINI SI KATIKA KUWA TUHUMU MOJA KWA MOJA,KUWA KAMA WAHUSIKA,KILA KITU KINA MIPAKA YAKE,TULIACHIE JESHI LETU LIFANYE UCHUNGUZI KWANI WAPO WAHALIFU AMBAO HUTUMIA KAULI ZA WENGINE KUTEKELEZA UALIFU WAO!
 
Back
Top Bottom