Chato: Gari la matangazo ya mikutano la CHADEMA lanusurika kuteketea kwa moto

Chato: Gari la matangazo ya mikutano la CHADEMA lanusurika kuteketea kwa moto

Kwa picha hizo limenusurika vipi hapo, mbona kama limeungua tayari.



UVCCM Chato walipiga mkwara eti asiende kwenye kaburi la Magufuli; utadhani wao ndio wamekuwa wasemaji wa familia yake.

UVCCM ambao awakwenda hata kwenye misa ya kumbukumbu yake, mtu pekee aliekuwa kavaa nguo za CCM siku ya kumbukumbu ya Magufuli ni kale ka binti ka Samia ndio kiliwakilisha UVCCM kamekaa peke yake. Wenyewe UVCMM Chato hawakufika leo wanajifanya wanaumia sana na kaburi lake.

Kiwango cha unafiki wa CCM kinapitiliza swala la Lissu kwenda kwenye kaburi la Magufuli ni uamuzi wa mjane wake na familia yake; sisi wengine alituhusu.

Hawa akili ndogo.....wajaribu leo
 
Siasa zinefika patamu sasa

Mpate mpate huu hadi 2025

ila kiukweli JPM alikuwa Mwamba sana

Hawa Chadema walikuwa kama Vigori wanaochezwa aliwapiga marufuku kwa miaka yake yote ya Madaraka na waliufyata
 
Kama CHADEMA walishawahi kujipiga bomu kwenye mkutano wao wenyewe pale viwanja vya soweto, Arusha inakuwa ngumu kutoamini hata hilo gari wamelichoma wenyewe ili kupata huruma. CCM haina muda mchafu wa kufikiria kuchoma gari la chama mfu. Tuko bize kutimiza ahadi tulizotoa mwaka 2020.
 
Siasa zinefika patamu sasa

Mpate mpate huu hadi 2025

ila kiukweli JPM alikuwa Mwamba sana

Hawa Chadema walikuwa kama Vigori wanaochezwa aliwapiga marufuku kwa miaka yake yote ya Madaraka na waliufyata
tupo sana kushuhudia maajabu ya siasa mpk 2025..aaah tutakua tumeona mengi sana mkuu
 
CCM wameshindwa kujibu hoja sasa wameanza viroja!
... kama waliweza kumuua kiongozi wa chama (Kamanda Mawazo) maeneo hayo na hakuna uchunguzi wowote hadi leo kuchoma gari mbona simple tu!
 
Hii ni kazi ya Wassira a.k.a Tyson.
Alisema TL akifika Chato azomewe kumbe alikuwa na mikakati mingine nyuma ya Pazia!
 
Vitu vingine vya kipumbavu afu wanataka tuwe wamoja, hivi kweli mnaweza kuwa wamoja wakati unawaumiza wengine

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Siasa zinefika patamu sasa

Mpate mpate huu hadi 2025

ila kiukweli JPM alikuwa Mwamba sana

Hawa Chadema walikuwa kama Vigori wanaochezwa aliwapiga marufuku kwa miaka yake yote ya Madaraka na waliufyata
Shujaa alikuwa Uso wa Mbuzi hakutakaga Ujinga Ujinga 😂😂
 
Kwa picha hizo limenusurika vipi hapo, mbona kama limeungua tayari.



UVCCM Chato walipiga mkwara eti asiende kwenye kaburi la Magufuli; utadhani wao ndio wamekuwa wasemaji wa familia yake.

UVCCM ambao awakwenda hata kwenye misa ya kumbukumbu yake, mtu pekee aliekuwa kavaa nguo za CCM siku ya kumbukumbu ya Magufuli ni kale ka binti ka Samia ndio kiliwakilisha UVCCM kamekaa peke yake. Wenyewe UVCMM Chato hawakufika leo wanajifanya wanaumia sana na kaburi lake.

Kiwango cha unafiki wa CCM kinapitiliza swala la Lissu kwenda kwenye kaburi la Magufuli ni uamuzi wa mjane wake na familia yake; sisi wengine alituhusu.

Ngoja tuonee...
🤣🤣
 
Back
Top Bottom