Chato: Katekista wa kanisa Katoliki akamatwa kwa tuhuma za kubaka mtoto wa miaka 8

Mshenzi sana huyo apigwe tu mana hakuna namna!!
 
Ama kweli nyeto elites wapo makanisani😂😂.
Shida wakichoka
 
Tangu mtu wao afe, wamepoteza mwelekeo, kama wamepigwa laana
 
Kuoa sio sababu

Case zao ni ngapi compare na wale walioa na wanafanya haya.

Wapo wengi wameoa, tena wengine zaidi ya mmoja lakini wanafanya haya
Pengine matukio yanayoripotiwa yanayofanywa na taasisi ya wakatoliki yatapungua


Si uliisoma ile report kutoka Vatican
Yaani hapo ndio unagundua nyege ni shida ni janga kwakweli
 
Mm ni baba yako!
Hizo takwimu yeye mbona hajalawitiwa na hao maaskofu,mapadre na makadinali?
Au anapoishi hakuna mapadre nk?
Kwahyo unasema taarifa zake za uongo ? BBC na report yao waongo ? Victims waliohojiwa waongo ? Hata hili mnaficha nini mkuu

Cardinal Theodore Mccarrick alisingiziwa ?
 
Katekista anaruhusiwa kuoa na kuzaa kama mtu wa kawaida.
Tutoe mambo ya madhehebu tumwangalie mtu kama mtu otherwise wabakaji tuwe tunatangaza na madhehebu yao
 
Kimsingi Kanisa Katoriki limekengeuka.
.
Mapadre na maaskofu wote Katoriki ni walevi na wahuni(wapenda Wanawake)
.
Nina Marafiki mapadre ni walevi na wahuni sana Kuna Wakati wanajiita church victims
 
Huwa siwaelewi watu wanaowapeleka watoto wao wadogo kwenye mafundisho ya dini.
Dini inapaswa kuwa jambo la mtu mzima kwa hiyari yake mwenyewe.
 
Pengine matukio yanayoripotiwa yanayofanywa na taasisi ya wakatoliki yatapungua


Si uliisoma ile report kutoka Vatican
Yaani hapo ndio unagundua nyege ni shida ni janga kwakweli
Mbona hapa kwetu case zilizo sikika ni za makatekista ambao wote wanaruhusiwa kuoa ?
 
Kimsingi Kanisa Katoriki limekengeuka.
.
Mapadre na maaskofu wote Katoriki ni walevi na wahuni(wapenda Wanawake)
.
Nina Marafiki mapadre ni walevi na wahuni sana Kuna Wakati wanajiita church victims
Usitazame dhambi zao ila angalia Imani ya kanisa
 

Katekista mzima anaongeza tozo. Wanawake wote hawaoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…