Uchaguzi 2020 Chato: Msafara wa Tundu Lissu washambuliwa kwa mawe

Kwa hiyo mnataka kujenga Taifa la watu wasioweza kuvuliana . Yani kila mtu akikerwa asifuate sheria aamue kuchukua upanga na kuwaua waliomuuzi.?
Aisee !! ndio agano jipya kati ya mungu wa ccm na wanachama wake.

Mtaliangamiza taifa hili kama ndivyo mnavyotaka iwe hivyo.
Hivi unajua ugaidi unaanzishwa na watu waliochoka kuteswa na bikadamu wenzao.
Yani CCM mnapewa kila kitu kwa kodi za wote halafu mnashindwa kuwa wavumilivu na kusimia sheria ? Ni jambo baya sana kudhani kuwa Kumsema mtu aliyepewa uongozi wa umma ni dhambi inayopaswa kuua mtu au kumjeruhi. Kwani wakimsema Magufuli aliyenufaika kwa kodi za wote kwa miaka zaidi ya 25 atapungukiwa nini.?
Na kwa Taarifa yako emponza sana Magufuli mana mngshauri aheshimu Demokrasia angeheshimika sana ndani na nje ya nchi. Uchaguzi huu angeshinda kwa kishindo na kwa raha na amani moyoni mwake. Hivi hata akishinda unategemea atakubali kustaafu akashtakiwe au kukosa heshima na upendo kwa Watu.?

Mbona viongozi wa CCM wameenda Zanzibar wakapokelewa vizuri japo kuna mashehe wanateswa na serikali ya CCM? Huo ndio uungwana na uvumilivu ambao viongozi wa umma wanapaswa kuwa nao.
 
Matusi ya Lisu kwa watu wa chato huwezi kuyaelewa mpaka uchukue akili zako ulizomkabidhi akushikie
Acheni kutudanganya kana kwamba nyie ndo mnajua kutafsiri Lugha za Matusi anazotumia Lissu kuna Lugha zilikuwa zinatumika mtaani Kuanzia 2015 Kama vile Tumekabidhi Nchi kwa Washamba nk kumbe ni sera ya Chadema kudhalilisha jamii fulani,Lissu azunguke Sana Kanda ya Ziwa sisi tulishampata Rais Magufuli tangu anazozunguka Ughaibuni kifupi anapoteza Muda hashindi.
 
Umejiuliza ni kwanini Maghufuli alifanya campaign Ikungi na kutoka salama ?!. Kwanini mpinzani wake asitafute kura Chato ?!. Na mbona kwingine mikutano ilikuwa salama isipokuwa Chato ?!.

Mnasema Amani huku mnashambulia watu kwa mawe ?!. Amani ya wapi !!
 
Kwa kura yako moja ?!
 
Kwenye hoja hata mgombea wao huwa anaogopa anakimbilia kutekana na kupiga watu risasi si bure ndio maana hataki kusikia neno mdahalo ataangamia
Alafu katika hotuba zake zote sijawahi kumsikia akiongelea au kukemea haya maswala ya utekaji, vijana wa CCM kufanya fujo katika misafara na mikutano ya Chadema meaning anabariki.
 
Mkuu hii comment yako kwa heshima na taadhima nakuomba uifanye iwe uzi unaojitegemea kwani imeshiba na ina ujazo wote unaotosha kulisha ubongo wa msomaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti anajidai kuwa amekuja kumsema kwao, na group alilotoka nalo geita na katoro ili ajaze chato.
Halafu viongozi wa dini wanamrambamramba miguu jpm.siwapendi wale viongozi wa dini hatarii
Mpende mwamakula na katimba kwani ni haki yako pia, yupo na bagonza.
Hao hawakutoshi?
 

Yaani nimecheka kwa nguvu, halafu inaonekana ww utakuwa ni Mzee lazima, maana ndio huwa wanatumiaga maneno kama haya ya kwako. Yaani watu tuone mtu katekwa kabisa uniambie siasa ni somo pana sana! Mimi nazungumzia uhalisia wa siasa, ww unaniletea habari ulizokaririshwa kwenye chuo cha siasa hapo kivukoni. Kaa Kimya tu maana huna jipya.
 
Mbowe ndiye aliyewaambia askari wamuue Akwilina ?
Hivi wenzetu mnatumia ubongo upi kufikiria ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema mnatengeneza movie za kihindi Tunataka Amani hatutaki vita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…