Madhara ya kujifungia ndani na kufunga mipaka na biadhara ni makubwa kuliko madhara ya Corona yenyewe, Tuchape kazi na kuongeza tahadhari, Naungana na kulubaliana na Maamuzi sahihi ya Rais. Big up JPM, Rais Shupavu na Jasiri uhitajika kwaajili ya Maamuzi magumu katika kipindi kigumu ili kulinusuru Taifa.
Chibudee,
Chibudee,