kwahiyo kama mchezaji basi yeye iniesta ananyumbulika tuNiambie chato kaendalini.likizo yake ilishakwisha aliludi kwenye majukumu yake,kuludi tu ndio sekeseke likaanza la corona akapiga ndefu dar to dom.dom kalaa juu ya mawe palee kaona wanafki wengi watamletea corona akapiga ndefu mpaka chato,sasa katulia anasoma mchezo.