CHATO: Rais Magufuli asema Serikali haitafunga mipaka wala kuwazuia watu kutoka ndani ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona

CHATO: Rais Magufuli asema Serikali haitafunga mipaka wala kuwazuia watu kutoka ndani ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona

Sisi tupo vizuri mkuu, kama akili yako umeiandaa kuona mabaya tu hakuna wa kukulazimisha kubadili mtazamo wako.
Sasa kwa nini tunalialia kwamba watu wetu ni wabangaizaji?je uzuri wetu upo kwenye kuwa na madaraja mengi na flyover mbili?
 
Sasa kwa nini tunalialia kwamba watu wetu ni wabangaizaji?je uzuri wetu upo kwenye kuwa na madaraja mengi na flyover mbili?
Ukiona nchi ina matajiri ujue wabangaizaji wapo tena ni wengi tu.

Huwezi kuwakwepa wabaingaizaji, hatuwezi wote kuwa sawa.

Madaraja na flyover ni njia tu za mawasiliano, ni mambo ambayo kwa mataifa makubwa yalijengwa karne iliyopita.

Kuvionq vitu kuwa ni maendeleo ni ulimbukeni.
 
Ukiona nchi ina matajiri ujue wabangaizaji wapo tena ni wengi tu.

Huwezi kuwakwepa wabaingaizaji, hatuwezi wote kuwa sawa.

Madaraja na flyover ni njia tu za mawasiliano, ni mambo ambayo kwa mataifa makubwa yalijengwa karne iliyopita.

Kuvionq vitu kuwa ni maendeleo ni ulimbukeni.
Mkuu ninavyojua mie over 80% ya watanzania ni wabangaizaji,while less than 1% ndo matajiri, kwa point yako una maana uwezo wa Serikali ya ccm kuwaondoa watanzania kwenye poverty line ndo umeishia hapo?
 
Ahsante sana Raisi wa JMT , mzee una busara sana endelea kutawala tuu, naona hekima kubwa sana kwako kuliko wapuyukaji Wa ufipa 👏👏
 
runtown,
CCM haiwezi kukwepa lawama endapo vifo mithili ya kuku wanaokufa kwa kideri vitatokea. CCM ndo yenye serikali na ina uwezo wa kumfunga breki kiongozi yeyoye anayetutoa kwa mstari. Wakinyamaza ina maana wanakubaliana naye.
 
Mkuu ninavyojua mie over 80% ya watanzania ni wabangaizaji,while less than 1% ndo matajiri, kwa point yako una maana uwezo wa Serikali ya ccm kuwaondoa watanzania kwenye poverty line ndo umeishia hapo?
Unavyojua wewe sio hali halisi. Tembea usikae sehemu moja tu ili uondokane na dhana potofu ya ' unavyojua wewe', maisha ni kujifunza kila kukicha sio kujua.
 
Unavyojua wewe sio hali halisi. Tembea usikae sehemu moja tu ili uondokane na dhana potofu ya ' unavyojua wewe', maisha ni kujifunza kila kukicha sio kujua.
Nishauri nitembelee wapi,kwa Tanzania ni mkoa wa Katavi tu ndo sijawahi fika,kwa East Africa ni South Sudan tu ndo sijawahi fika,kwa nchi za SADC ni Namibia tu ndo sijawafika kwa nchi za America ni Canada tu ndo zijawahi fika,kwa nchi za ulaya nimetembelea nchi nne nikikaa kwa kipindi Kati ya week mbili hadi mwezi,sasa nishauri nitembelee wapi ili nikijue hicho unachosema.
 
Nishauri nitembelee wapi,kwa Tanzania ni mkoa wa Katavi tu ndo sijawahi fika, kwa East Africa ni South Sudan tu ndo sijawahi fika,kwa nchi za SADC ni Namibia tu ndo sijawafika kwa nchi za America ni Canada tu ndo zijawahi fika,kwa nchi za ulaya nimetembelea nchi nne nikikaa kwa kipindi Kati ya week mbili hadi mwezi,sasa nishauri nitembelee wapi ili nikijue hicho unachosema.
Inashangaza unakuwa na mawazo ya jumlajumla kama umefika pote huko ulipofika.
 
Nimekupa %ya NBS wewe unataka nikaangalie mtu mmoja mmoja pole sana
Mkuu hakuna malaika anayeweza kuleta miujiza katika uongozi wa nchi, kuna wakati inabidi ukubaliane na hali halisi jinsi ilivyo.

Kulalama sana sana kutakuletea vidonda vya tumbo.
 
Makanisa, Miskiti yote ingefungwa. Ningepiga marufuku abilia kuingia na kutoka Dar, Mipaka yote ingefungwa isipokuwa wanaoleta chakula, dawa na bidhaa muhimu, Kumbi zote za starehe zingefungwa kila mlevi anunue pombe dukani akanywe kwake.

Mishahara yote ya umma ambayo ni kuanzia milion 3 ingekatwa 50% ili kununua chakula kwa watu masikini.
you are very right, tunachukulia rahisi sana.....watu kushabikia ujinga. wanaotuwakilisha ndo hao washaamua, kazi kwetu kuwafuata hata kama hatutaki,...hata kama wakili wetu kakosea watu tunashabikia, m mungu tunusuru tanzania
 
Kwa hiyo siku hizi masuala yanalolihusu taifa yanazungumziwa kwenye nyumba za ibada. Kwa nini viongozi wetu wanaruhusu siasa zifanyike kwenye nyumba zetu za ibada ?
 
Yapata wiki 3 zilizopita, mchambuzi mmoja aliweka hapa ukumbini mada yake ilyosema kwamba JPM amecheza bingo kubwa kwa kuruhusu shughuli za kiuchumi na kijamii ziendelee wakati gonjwa la corona likileta kizaazaa dunia nzima. Aliendelea kusema JPM amechukua hatua tofauti kabisa na viongozi wengine ambao wamefinga mipaka, wameweka nchi zao kwenye 'lockdon', na kadhalika.

Alendelea kusema endapo bingo hii italipa, kwa maana ya gonjwa hili kupita na kutuacha salama, basi JPM atakuwa mfano wa kuigwa, si katika ukanda huu wa Afrika tu, bali ulimwenguni pote. Lakini kama bingo hii haitalipa, kwa maana ya kwamba watu wengi wakifa basi lawama atazochukua zitakuwa nzito sana kiasi kwamba hawezi kuzibeba. Sasa napenda kumwuliza mchambuzi huyo apime na atupe mrejesho kama bingo hiyo inaelekea kulipa au la?
 
Back
Top Bottom