Chato: Serikali kujenga Uwanja wa kisasa wa Michezo

Uwekezaji wa Mpira unaanza na miundombinu. Na pia tukubaliane kuwa sio kila uwanja uweDar tuu, sahizi kanda ya ziwa halafu miaka inayo Kusini na mashariki pia viwanja vitajengwa. Mtafurahi wenyewe ngojeni!
 
Chato haihitaji uwanja mkubwa sana wa mpira, wajenge uwanja mdogo wa kutosha watu 10,000 - 15,000 utatoshaa, wananchi wa chato ni masikini, msisitizo ungewekwa kwa kuanzisha viwanda, masoko, kujenga vyuo n.k ili wana chato wapate ajira na kujenga maisha yao kiuchumi, chato pia inatakiwa ipangiliwe, huwezi kutaka kuufanya mji wa kitalii wananchi hawana makazi mazuri, huku kuna bonge la uwanja state of the art, wataingia punda?

Vuta watu wakaishi na kuijenga chato, fungua fursa watu wakimbile huko mji utajijenga wenyewe
 
Mama Salman, nawe kajenge international saloon huko Zanzibar.
 
Kule Butiama baada ya lile kaburi lake yule mzee alijenga nini tena
 
Hiyo kauli sio ya waziri huyo. Mhusika yupo. Vipi mbona kimyaaa?

Halafu
Upo kirumba
Kaitaba

Sasa chato?

Au ni ule wa dodoma umehama?

Hapo sio sawa kabisaaaaa. Vipo vitu vya chato sio uwanja wa kisasa wa michezo.

Hoteli za kulala watu hao ziko wapi?

Huduma za chakula, nk hapo chato kweli zipo?
 
Uwekezaji wa Mpira unaanza na miundombinu. Na pia tukubaliane kuwa sio kila uwanja uweDar tuu, sahizi kanda ya ziwa halafu miaka inayo Kusini na mashariki pia viwanja vitajengwa. Mtafurahi wenyewe ngojeni!
 
sasa hivi mambo yanaenda kihuni kihuni, kama wilaya yako haina waziri, basi kodi zenu mnawatolea wengine
 
Chatoal ka dar....mtaipenda tu mabegesa
 
Naihurumia Geita mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…