Chato: Serikali kujenga Uwanja wa kisasa wa Michezo

😨😨😨 😨😨 et utalii?kitu gan sasa kitakacho mfanya mzungu aje ashangae uwanja? Ama utakuwa na utofauti na viwanja vingne dunian??

Hizo ela si bora atoe maji ziwa Victoria asambaze chato nzima
 
Viongozi wetu wamekuwa wanaropoka sana mpaka you feel uneasy to listen to them. They make me feel embarrassed at times!!
 
Maajabu ya Dunia!
Yaani Beberu atoke ubeberuni aje Chato kushangaa uwanja wa mpira?

Nisawa na Beberu aje kushangaa magholofa ya kariakoo.
Magholofa,........tumia herufi kwa usahihi.
 
[emoji32][emoji32][emoji32] [emoji32][emoji32] et utalii?kitu gan sasa kitakacho mfanya mzungu aje ashangae uwanja? Ama utakuwa na utofauti na viwanja vingne dunian??

Hizo ela si bora atoe maji ziwa Victoria asambaze chato nzima
Labda utakuwa zaidi ya Wembley!
 
Huu ni UPUMBAVU wa hali ya juu kutumia between $400 millions to $500 millions kujenga uwanja eti kuvutia watalii.
Hii awamu msipougua kisukari na presha basi lazima muokote makopo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…