Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magholofa,........tumia herufi kwa usahihi.Maajabu ya Dunia!
Yaani Beberu atoke ubeberuni aje Chato kushangaa uwanja wa mpira?
Nisawa na Beberu aje kushangaa magholofa ya kariakoo.
Mkuu yakubidi uwe muelewa wa vitu...imesemwa huu uwanja unajengwa kwa ajili ya watu kwenda kushangaa tu kisha unaushika na kulamba ukuta wake na roho yako itapona, Amina.Inamaana hakuna mechi za ligi kuu zitakazo chezwa hapo zaidi ya utalii tu ?? ..
Nadhani wataweka wanyama ili uwe kivutio Cha watalii.Inamaana hakuna mechi za ligi kuu zitakazo chezwa hapo zaidi ya utalii tu ?? ..
Labda utakuwa zaidi ya Wembley![emoji32][emoji32][emoji32] [emoji32][emoji32] et utalii?kitu gan sasa kitakacho mfanya mzungu aje ashangae uwanja? Ama utakuwa na utofauti na viwanja vingne dunian??
Hizo ela si bora atoe maji ziwa Victoria asambaze chato nzima
Kujipendekeza Hadi aibu. Wanakera Sana Hawa waramba viatu.Hivi Kwani hawezi tu kusema Serikali imeamua kujenga Uwanja wa mpira Chato, akaishia hapo bila kuongeza Maneno ya Aibu??
Upuuzi wa nchi hii,juzi tu tumesikia wananchi wanalazimishwa kuchangia pesa za ujenzi wa madarasa,leo hii tunakopa pesa kujenga uwanja Chato,
Hii awamu msipougua kisukari na presha basi lazima muokote makopoHuu ni UPUMBAVU wa hali ya juu kutumia between $400 millions to $500 millions kujenga uwanja eti kuvutia watalii.
Labda utakuwa zaidi ya Wembley!
Matumizi mabaya ya madaraka kujenga uwanja wa ndege Chato. Matumizi mabaya ya madaraka kupeleka ndege kubwa kama hii chato hakuna chochote pale. Sheria ya Uhujumu uchumi, kuendesha genge la uhalifu inachagua pa kufanya kazi. Hapa ndipo penyewe ianze. Huu ni uhujumu Uchumi.
View attachment 1673946
Inabidi timu zitabeba na watazamaji,maana ni porini.Inamaana hakuna mechi za ligi kuu zitakazo chezwa hapo zaidi ya utalii tu ?? ..
Hivi Kwani hawezi tu kusema Serikali imeamua kujenga Uwanja wa mpira Chato, akaishia hapo bila kuongeza Maneno ya Aibu??